ndayilagije
JF-Expert Member
- Nov 7, 2016
- 7,492
- 8,295
Maisha yetu yana raha isiyopatikana popote duniani, sema ni vile tu mabeberu hayatakagi kutuelewa. Tunastahili kuongezeka kuwa ajabu la dunia aisee.
Huku Buza unaweza kuacha mke kisa washkaji hawajaridhika nae tu, achilia mbali mawifi na wakwe.
Huku kwetu shabiki wa mpira anayo mamlaka kamili kumfukuzisha kazi kocha wa timu yoyote ile ya mpira.
Ukizeeka inatakiwa kusali tu huku ukijiandaa kufa kinyume na hapo jamii haikuelewi.
Yaani huku bongoland kila ishu ni ya kijamii, ukiajiriwa kazini lazima tujue kama una mke na watoto wangapi Tena tujue unapoishi, pungufu ya hapo unaroho mbaya.
Lakini usichanganye mambo! Siyo kwamba tunapenda a sana hapana tunataka kujua tu. Bongo kiboko.
Kila mmoja ni dokta, mwanasheria na ni mshauri mbobevu wa maisha yako, kuwa mwangalifu hii ni nchi ya ujamaa na kujitegemea.
Mchango wa harusi unaweza kuharibu kabisa urafiki au udugu. Na hii ndiyo Bongo. Nchi iliyoishinda korona.
Huku Buza unaweza kuacha mke kisa washkaji hawajaridhika nae tu, achilia mbali mawifi na wakwe.
Huku kwetu shabiki wa mpira anayo mamlaka kamili kumfukuzisha kazi kocha wa timu yoyote ile ya mpira.
Ukizeeka inatakiwa kusali tu huku ukijiandaa kufa kinyume na hapo jamii haikuelewi.
Yaani huku bongoland kila ishu ni ya kijamii, ukiajiriwa kazini lazima tujue kama una mke na watoto wangapi Tena tujue unapoishi, pungufu ya hapo unaroho mbaya.
Lakini usichanganye mambo! Siyo kwamba tunapenda a sana hapana tunataka kujua tu. Bongo kiboko.
Kila mmoja ni dokta, mwanasheria na ni mshauri mbobevu wa maisha yako, kuwa mwangalifu hii ni nchi ya ujamaa na kujitegemea.
Mchango wa harusi unaweza kuharibu kabisa urafiki au udugu. Na hii ndiyo Bongo. Nchi iliyoishinda korona.