Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar...
Unafikia umri umemtamani mtoto wa kike mrembo 18+ kumwita tu anakusalimia shkamoo babu au shkamoo baba.
Ujue bora akusalimie tu shkamoo
Hapo ujue bado upo
Ila akimalizia tu .
Una hali mbaya. Sitaki uzee aisee ngoja nitafute hela
Hali kama hii ya hofu inanitokea mara chache kabla hata sijapokea taarifa mbaya . Au jambo baya kutokea na sijui kwa nini sometimes inatokea alafu nisielewe kabisa shida nini na inapotokea naanza kuwaza ni tatizo gani linakuja namwomba Mungu Aniepushie.
Sasa leo nilitaka kutoka mida ya saa moja...
Wakuu nimejaribu kupiga hatua kwenye maisha yangu na kuweka mfanyakazi kwenye biashara yangu mara 3 kwenye duka la rejareja na huduma za kifedha m pesa tigo pesa airtel money halopesa lakini kila nikiachaga mfanyakazi wengine wanafanya vizuri mwanzo baada ya muda tu anaharibu na kuleta hasara...
Habari wakuu. Mwezi wa kwanza mwaka huu. Baada ya mwezi wa 12 kuonekana nina wateja wengi sana kwenye biashara yangu sasa nimepata mpinzani mpuuzi sana. Kiufupi nimeumia sana kuwa na mpinzani wa namna hii.
Mpinzani wangu ni mwanamke kabla ya kufungua biashara aliweka ukaribu mkubwa na mimi na...
Juzi niliamua kuingia soko la mitumba Karume kwa mara ya kwanza. Kweli ni sehemu nzuri ya kupata nguo nzuri za mitumba. Ila kuna kero moja isiyovumilika kwa watu tunaopenda ustaarabu.
Kila mfanyabiashara ana spika kwahiyo kelele za pale zimekuwa ni kero kubwa sijui wenyewe wanaonaje ila kwangu...
Wakuu vijana tunahitaji sana kutoka kimaisha lakini tunafelishwa na watu wachache wenye roho mbaya.
Duka la vyakula ni mtihani sana.
Huyu mkurugenzi alikuwa anahusika na kupikia shule tatu huku Kibamba.
Hakuwa na mtaji wa kumudu zote na huduma nyingine anazo.
Akaja tukaingia makubaliano akawa...
Leo nimekutana na kijana mmoja kanichangamkia kinoma noma ananijua vyema hadi anaulizia watu wangu wa karibu lakini kila nikijaribu kumkumbuka nafeli
Imebidi nijichekeshe tu mpaka sasa sijamjua kabisa na kumuuliza nimeona jau
Ishawahi kukukuta . Ulitokaje hapo ?
Wakuu mimi ni kijana wa miaka 28 elimu ya form six chuo niliishia mwaka wa 2 kwa sababu ya kuugua baada ya hapo nikajikita zaidi kwenye biashara ambazo ndio zinaharibu akili yangu.
Tatizo kubwa linaletwa na upweke nilioishi utotoni. Niliishi na wazazi lakini mama alikuwa mtu wa kuugua na baba...
Siku hiyo nilikuwa kazini. Mke wangu alibaki nyumbani na mwanangu wa kike wa miaka 11 . Sasa ilipofika muda wa saa 11 mke wangu alitoka na kumwaga mwanangu kuwa anakwenda dukani bila mwanangu kujua kule ndani tayari mchepuko wa mke wangu alikuwa amejificha ndani.
Baada ya mke wangu kuondoka...
kijana mwenye jinsia mbili alipata shida ya kibofu cha mkojo na kufanyiwa surgery
Lakini hali yake haikutengamaa bali ndio ikazidi kuwa mbaya sana sana .
Sasa jana kanitumia meseji watsap.
Kaka asante kwa kuwa rafiki bora zaidi ya rafiki , ndugu zaidi ya ndugu
Nilifurahia sana kampani yako...
Sitaki wale vinyonya damu wanakupa beu ya pipi kisa una shida . Kibamba dar es salaam
OFA YA MITUNGI YA GAS
USIKOSE
EMPTY ORYX KUBWA 37,000
EMPTY MIHAN NDOGO 15000
EMPTY ORYX NDOGO 17000
EMPTY MIHAN KUBWA 33000
EMPTY KUBWA LAKE 32000
Yenye ges o gas ndogo 34000
Yenye GAS ORYX KUBWA...
Licha ya kunywa matope Handeni, Tanga unayapata pia kwa kugombania au foleni
Serikali ikumbukeni handeni Tanga, wanaishi binadamu kule
Shida ya maji handeni Tanga
Kwenye maisha tunaishi tukiwa hatuijui hatima yetu ya maisha itakuwaje. Hili ni fumbo kubwa ambalo Mungu pekee ndiye anajua
.Wengine tunaweza kuwa na virusi vya ukimwi , kansa ,vidonda vya tumbo , kisukari au presha tukafikiri ndio hatima yetu ila hatima yetu ikawa sio hiyo labda ni ajali au...
Kama Kikwete kizazi chake kinavyorithishwa kushika nafasi za uongozi wa nchi hivyo hivyo ndio kizazi cha familia nyingi kina ridhishana umaskini.
Unavyompondea baba yako na kumwita maskini usisahau watoto wako nao watakuita hivyo hivyo kama hautabadilisha maisha uliyonayo na kujidekeza ukijiita...
Katika miji mingi hapa nchini sijawahi kuona mji wenye shida ya maji kama Handeni Tanga miaka nenda rudi.
Uzuri wa huu mji mdogo uliovizuri sana kibiashara, haufananii kabisa na shida ya maji iliyopo.
Ni uzembe wa hali ya juu, na sio uzembe tu ni ukatili wa kutisha unaofanywa na CCM kwa wakazi...
Buriani waungwana, limenipata dubwana,
Mapema tunaagana, Ningali bado kijana,
Maumivu yanibana, kuandika nangangana,
Buriani waungwana, limenipata dubwana,
Sina wa kumpa lawama, hata Zerea kimwana,
Akijua sana vyema, kalizoa Dubwana,
Kama na kosa kusema, nisamehe tu Rabana
Buriani waungwana ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.