Nina kitu kama uvimbe chini ya ulimi, mwanzo ilianza kama matezi nkafika hospital wakanipima wakasem niuvimbe wakawaida tu wakanipa ant biotic, nlipozitumia nkapona kabisaa Ila ndani ya wiki moja tu tangu nimalize dozi nmeona tatizo lmeanza kurudi tena, kwani uvimbe chini yaulimi unasababishwa...
Usifanye maamuz magum hauko pekeako hata mm nmetoka kusalitiwa juzi,, hakiamungu nilijikuta machozi yakintoka tu,, askwambie mtu mapenzi yanatesa ww labda kam hukumpenda ase,,, pole sana ila vumililia tu haupo pekeako
Jibu la mtu lisikutosheleze kuamini kuwa huo ndio ukweli,,, kuna mwislam lkn ypo mbali na mafunzo ya dini yake,, so Ku prove ka nikweli Quran ilishushwa kwanza na malaika kabla ya kuandikwa fanya uchunguz huru ,,,,FANYA UCHUNGUZI KU PROVE JE NIKWELI QURAN ILISHUSHWA NA MALAIKA KABLA YA...
Kabla ya kucheka na kudharau fanya uchunguzi Ku verify the truth,,,,Quran haikuandikwa as normal books ,, malaika jibril(Gabriel ) alimshushia mtume Mohammad s.a.w akipewa order kutoka kwa Allah ,,,,KUJIRIDHISHA KUHUSU HILO FANYA UCHUNGUZI BINAFSI ,,, hata nuhu aliwaambia watu wake kuhusu mungu...
Tunaitumia sana tu,,, ndo maana pale kuna tafsiri ,,, lengo la kutumia lugha zote mbili yaani kiarabu na kiswahili nikuogopa kubadili maana halisi ya maneno yaliyoshushiwa hii dini,,,,quran imeshushwa kwa kiarabu na Allah kupitia jibril kwa kiarabu so,, Quran its pure ,,,not polluted like other...
Bora kupanga chumba ,,maana chumba mtaishi zaidi ya mmoja na mahitaj yote ya mda mref unaezafanya booking ,,,, ukanunua vyakula vya mda mrefu ,,mfano mchele sukari etc ,,ukikaa hostel kila kitu nichakununua,,,, NAKUSHAURI KAMA KUNA CHUMBA KARIBU NA CHUO NA KAMA MNARUHUSIWA KUISHI ZAID YA MMOJA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.