Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Mkuu, hawa watu wameguswa pabaya, inabidi tu wawe wapole. Walipoitaja ile list of shame walikuwa na kila haki ya kufanya walitakalo.Wauza unga watatumia media,timu za mpira na bunge au vyama vya siasa lakini hawatakwepa mkono wa Sheria..Makonda alishajiandaa kwa yote na wote
Leo hii kibao kimewageuka, wanaanza kutapatapa. Wale wote waliokwenda central sio wajinga, haiwezekani Mbowe mmoja tu awe malaika tofauti na wengine.
Lazima nchi ifanane na nyumba. Kila mtu na aifahamu mipaka yake.