Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,579
- 7,281
Kwani hiyo orodha wewe huioni? Si wao ndo wanaojua kutekeleza ilani ya chama?Nasikia Zamani Mpaka Uwe Na Kadi Ya chama frain
Sa Sijui Ni Kweri...!!
Kwani hiyo orodha wewe huioni? Si wao ndo wanaojua kutekeleza ilani ya chama?Nasikia Zamani Mpaka Uwe Na Kadi Ya chama frain
Sa Sijui Ni Kweri...!!
Najua kuwa ni kutunuku tu lakini kwanini wapewe hao tu, tofautisha kulalamika na kuhoji mkuu.Chuo kikuu kina mwenyekiti wa Council. Huyu ndiye anatoa decisions. JK kama nilivyosema ni mtu wa kutunuku vyeti tu ndugu yangu!!!! Acheni kulalamika kila wakati na vitu msivyovijua. Wewe ukipewa kazi ya kujitolea utafanya?
Nchi hii kuendelea ni ngumu tumewekeza kwenye vitu visivo na kichwa wala miguu, na kusahau kuwekeza kwenye mambo ya kulisaidia taifa letu lipige hatua.Daaaaaaahhhhh Afu Tutalajie Mabadiliko
Labda Mpaka yesu Aje
Mkuu, posho ni jina tu jingine la pesa, ishu ukitajiwa hcho kias cha posho yenyewe inaweza zid mishahara ya watu..Labda kuna kitu posho!!!!! Bado hamja angalia wenye viti wa mabaraza (council) wa vyuo- ni wale wale-huku pia ni posho na takrima kwenda mbele.
Kwa upole tutaita posho. Kuna mwenyekiti mmoja wa baraza alipomaliza kipindi chake nasikia NOAH ilitafutwa na zawadi nyingine kedekede.Mkuu, posho ni jina tu jingine la pesa, ishu ukitajiwa hcho kias cha posho yenyewe inaweza zid mishahara ya watu..
Nakuunga mkona,ni kweli. Nimefanya utafiti mdogo hivi karibuni. Makao makuu ya Idara inaongozwa na wazee,chini yao kuna vijana ndo wameajiriwa karibuni. Peleleza origin ya hao vijana utapata jibu. Kuna wachapakazi wazuri tu mikoani kiasi cha kuwasogeza kwenye post hizo,ni wazoefu,ila hutaona. Akisogea na si ndugu au wa kujuana hofu yao anaweza kufukua makaburi. Kuna kazi nyingine ni vyema mwanzo wa ajira uanzie kijijini,sio makao makuu ili upate uzoefu. Mfano our presda.MIAKA MITATU ILIYOPITA NILIPATA KIBARUA SHIRIKA FULANI LA UMMA. KILICHONISHANGAZA ASILIMIA KUBWA YA PERMANENT STAFF WANA WATOTO/WAJOMBA/SHANGAZI/BINAMU/SHEMEJI ZAO WAMEAJIRIWA KAMA TEMPORARY EMPLOYEES. NILIPODODOSA HIZO TEMPO WANAZIPATAJE AU ZINATANGAZWA WAPI, MAJIBU NI KUWA UNALETWA NA NDUGU YAKO, HALAFU UNASUBIRI KUAJIRIWA RASMI BILA USAILI WOWOTE. HII NDIYO TANZANIA, UPENDELEO, UKABILA NA UNDUGU VIKO JUU KULIKO INAVYODHANIWA.
MUM JE?1. UDSM
-Jakaya Mrisho Kikwete (66 yrs)
-Raisi mtaafu wa Tanzania
-Kateuliwa na Raisi Magufuli
2. UDOM
-Benjamin William Mkapa (78 yrs)
-Raisi mstaafu wa Tanzania
-Aliteuliwa na Kikwete
3. MUHIMBILI
-Ali Hassan Mwinyi (91 yrs)
-Raisi mstaafu wa Zanzibar
4. State University of Zanzibar
-Dr Ali M. Shein (68 yrs)
-Raisi wa Zanzibar
5. SUA
-Joseph Warioba (76 yrs)
-Makamu wa Rais mstaafu na Waziri mkuu mstaafu
6. Nelson Mandela
-Dr. G. Bilal (71 yrs)
-Makamu wa Raisi mstaafu
7. CHUO KIKUU HURIA (OUT)
-Mizengo Pinda (68 yrs)
-Waziri Mkuu mstaafu
8. Hubert Kairuki
-Dr. Salim Ahmed Salim (74 yrs)
-Waziri Mkuu mstaafu na
-Secretary General mstaafu wa ilyokuwa OAU na baadae AU
9. Ardhi University
-Cleopa Msuya (85 yrs)
-Waziri Mkuu mstaafu
10. Mzumbe University
-Barnabas Samatta (76 yrs)
-Jaji Mkuu mstaafu
11. MUST
-Prof Mark Mwandosya (67 yrs)
-Waziri Mstaafu
Ama kwel aliyenacho ataongezewa na asie nacho akajiajiri !!!!!
A] Katka hii list Kikwete ndo mdogo kiumri
Hivi hii nafasi inaangalia umri, hata kama, Je hakuna watu wenye cv zilizotukuka wenye 50 to 60 au 65 yrs hivi
Hii nafas ina uzito kias gan mbona kuna wakuu wa nchi wenye umri chini ya miaka 50
1. John Kennedy (USA)
-alkuwa raisi akiwa 43 yrs
2. Atifete Jahjaga (KOSOVO)
-She was 36 yrs
3. Kabila (Congo)
- was 29yrs, now 45
4. Barack Obama USA
-was 47yrs, now 55
5. Andrzej Duda (POLAND)
-was 44yrs, now 45
Uraisi ni taasisi kubwa zaid ya ukuu wa chuo, so sidhan kama umri mkubwa kias hcho ndo kigezo
B] Nikadhan pia labda inabd uwe public figure au uwe na political experience
Sasa ngoja tuone hali ipoje kwa vyuo vitambulikavyo kidunia Chancellors wao :
1. HARVARD UNIVERSITY
- Drew Gilpin Faust
-Professor of History in Harvard's Faculty of Arts and Science
2. MASSACHUSETTS
-Kumble R. Subbaswamy
-Professor, Department of Physics and Astronomy
3. STANFORD UNIVERSITY
-Marc tessier Lavigne
-alkuwa chancellor wa Rockefeller university na
-Head of the Laboratory of Brain Development and Repair
Kazi kwel kwel, wateuzi na wateuliwa ni wale wale, duuu
Aliye na mtaji anateuliwa na asie na mtaji anaambiwa ajiari
Sio kwamba vijana wa 20s ndo wateuliwa la hasha, lakin akiteuliwa wa 50s, wa 40s atapanda kuziba nafasi na 30s atapanda hali kadhalika 20s atapata nafasi huku chini
Wastaafu wana nafas kubwa sana ya kuwashaur viongoz wa juu, wana access, tena hata kwa kumpigia simu tofaut na raia wengine KWANN WASIBAK KAMA WASHAUR TU, na wapate mda wa kuwa na familia zao baada ya majukumu mazito ya kulitumikia taifa hili kama alvosema Mzee Kikwete wakat anaaga ile mwaka jana???
Chancellor ni ceremonial leader, labda kuna vigezo vya kuteuliwa,
wana jamvi tusaidiane tafadhal
NB:
marekebisho yanaruhusiwa
ASANTENI NA KARIBUNI
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Badala ya kushauri wasira apewe wewe unamshauri LO
Ndio mkuuKwahyo kwenye hzo nafasi mpya hawalipwi? yan wameongezewa tu majukumu lakn malipo ni ya kule kwenye urais kama wastaafu,,,
ufafanuz tafadhal mkuu...
Jaribu kufikiri vizuri sababu upo katika jukwaa la home of greater thinker! ,Wazee hao hata wakipumzika wanalipwa pesa nyingi sana na huduma zote wanapata kwa iyo wanapewa izo nafasi ili wasikae bure huku wakilipwa pesa nyingi