Mwanamuziki maarufu nchini Uganda ambaye pia ni Mbunge wa jimbo la Kyadondo, Bobi Wine ameachiwa huru kwa dhamana leo Agosti 27, 2018 na Mahakama Kuu mjini Gulu.
Bobi Wine
Robert Kyagulanyi a.k.a Bobi Wine amekuwa akizuiliwa na jeshi la polisi kwa takribani wiki mbili nchini humo amepewa...
Kundi lenye itikadi kali za Kiislam la Boko Haram,jana limechoma kijiji kizima kilichoko Kaskazini Mashariki mwa nchi ya Nigeria,na kuua watu wawili kwa kuwachoma wakiwa hai.
kwa mujibu wa Shirila la habari la AFP,lililowakariri baadhi ya wananchi,na vyanzo vya usalama,Boko Haram,limetekeleza...
kama habari inavyosema, Serikali ya Congo DRC yathibitisha kukabidhiwa kwa askari wa jeshi la congo aliyekamatwa nchini Tanzania hivi karibuni
DRC govt confirms extradition of rebel colonel
Jioni hii kumetokea ajali ya gari ya polisi aina ya defender Mbeya iliokuwa ikipeleka askari wa FFU lindoni
wamefariki 2 na majeruhi 9,
========
UPDATES:
Ajali ya gari kuacha njia kupinduka na kusababisha vifo na majeruhi -
Mnamo tarehe 18.01.2018 majira ya saa 16:45 hrs huko maeneo ya...
Inasemekana moto mkubwa umezuka kwenye moja ya jengo na kusababisha taharuki miongoni mwa wakazi wa karibu na Quality Center, Barabara ya Nyerere jijini Dar.
-Chanzo chake hakijafahamika wala madhara yaliyosababishwa na moto huo.
-Tunaendelea kufuatilia undani wa taarifa hii
global onlinetv
A man is being held after an attempted terror attack at New York City's main bus terminal.
"Terrorists won't win," Mayor Bill de Blasio said after a blast at the Port Authority terminal in Manhattan during the morning rush hour on Monday.
The suspect, Akayed Ullah, a 27-year-old Bangladeshi...
Habari wakuu poleni na majukumu ya kila leo natumaini wikiendi ilienda vizuri,
Leo nipo na wakina mama/wanawake nauliza kwanini hampendani, nimefanya utafiti mdogo tu wa kuchunguza kila usafiri wa public/daladala nikagundua hampendani wala kuoneana huruma.
Unakuta kapanda mdada ama mmama...
hackers kutoka Tanzania waingilia tovoti ya universtiy of dar es salaam kitengo cha aquatic
wanadai serikali inawasomesha lakini ajira wanapeana kindugu na zoezi hili ni endelevu
aquatic.udsm.ac.tz
habari wanajamvi Jf
niende kwenye mada moja kwa moja kuna habari ambazo nazisikia(sina uhakika) kuhusu kutumia mita mpya kwamba ikiwa mpya ili usiwekwe kwenye list ya wanaotumia umeme mwingi na kuwekwa list ya tarrif 4(sina uhakika kama ndivyo inavyoandikwa kitaalamu) hivyo kupelekea kununua...
Za jioni wakuu,swali hili niliulizwa na tukajadiliana na marafiki kadhaa lakini hatukupata jibu hebu tushirikiane kutoa mawazo.
Kipofu akiota ndoto huwa anaona nini akiwa ndotoni
nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.