Maxmizer
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 4,799
- 4,231
habari wanajamvi Jf
niende kwenye mada moja kwa moja kuna habari ambazo nazisikia(sina uhakika) kuhusu kutumia mita mpya kwamba ikiwa mpya ili usiwekwe kwenye list ya wanaotumia umeme mwingi na kuwekwa list ya tarrif 4(sina uhakika kama ndivyo inavyoandikwa kitaalamu) hivyo kupelekea kununua unit chache kwa pesa nyingi ni vizuri kufanya mambo haya
1. kununua umeme(units) usiozidi shilingi 10000 kwa mwezi
2. usisubiri umeme uishe ndo ununue mwingine(kwa wenye mita mpya)
3. matumizi yako yasizidi umeme wa shilingi 10000 kwa mwezi(nazungumzia mwanzoni kabisa unaponunua mita mpya)
wataalamu na wenye ufahamu naomba msaidie hapa
niende kwenye mada moja kwa moja kuna habari ambazo nazisikia(sina uhakika) kuhusu kutumia mita mpya kwamba ikiwa mpya ili usiwekwe kwenye list ya wanaotumia umeme mwingi na kuwekwa list ya tarrif 4(sina uhakika kama ndivyo inavyoandikwa kitaalamu) hivyo kupelekea kununua unit chache kwa pesa nyingi ni vizuri kufanya mambo haya
1. kununua umeme(units) usiozidi shilingi 10000 kwa mwezi
2. usisubiri umeme uishe ndo ununue mwingine(kwa wenye mita mpya)
3. matumizi yako yasizidi umeme wa shilingi 10000 kwa mwezi(nazungumzia mwanzoni kabisa unaponunua mita mpya)
wataalamu na wenye ufahamu naomba msaidie hapa