Nawakumbusha tu ndugu zangu kwamba tarehe kama ya leo miaka miwili iliyopita tulimchagua rais aliyepo madarakani!!! Tuchukue muda kumuombea [emoji120][emoji120]
Nana umri wamiaka 24 sasa. Tangu nipo kidato cha nne mwaka 2010 nilianza kupiga punyeto. Kiukweli imeniathiri sana. Ninae mpenzi but nashukuru mungu ninamridhisha vizuri tu. Lakini mm nikitoka hapo naingia bafuni kukamilisha starehe yangu kwa kupiga punyeto.
Naombeni ushauri wadau nifanyaje...
Oky. Mchanganuo ni kama hivi.
Printing machine zinapatikana kariakoo. Kuanzia 2.2m nakuendelea kulingana na ukubwa wa machine. Lazima uwe na computer.
Rangi pia na vifaa vingine vya uchoraji. Pia lazima ujue kuchora maana kuna logo zingine hazikubali machine inapidi uweze kuziandaa. Pia kuna...
Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Chares Msonde
Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba leo Oktoba 20,2017.
Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa 662,035 kati ya 909,950 waliofanya...
Siku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE.
Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua.
Nimjibu vipi jamani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.