Search results

  1. jussine

    SIMULIZI: Mkufu wa Malkia wa Goshen

    naomba sehemu yakwanza hadi ya 10
  2. jussine

    HALOTEL, Nadhani mmefikia ukomo wenu wa kutuhudumia wateja wenu ambao tuna matumizi mazuri ya Internet

    hamieni ttcl gb 3 kwa 2500 kwa mwezi na dakika kibao + sms
  3. jussine

    Tarehe kama ya leo miaka miwili iliyopita watanzania tulifanya maamuzi ya kusimika utawala uliopo

    Nawakumbusha tu ndugu zangu kwamba tarehe kama ya leo miaka miwili iliyopita tulimchagua rais aliyepo madarakani!!! Tuchukue muda kumuombea [emoji120][emoji120]
  4. jussine

    Naomba ushauri. Ntaachaje kupiga punyeto.?

    [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  5. jussine

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Nyambafu wamenichomea mkeka
  6. jussine

    Naomba ushauri. Ntaachaje kupiga punyeto.?

    Nana umri wamiaka 24 sasa. Tangu nipo kidato cha nne mwaka 2010 nilianza kupiga punyeto. Kiukweli imeniathiri sana. Ninae mpenzi but nashukuru mungu ninamridhisha vizuri tu. Lakini mm nikitoka hapo naingia bafuni kukamilisha starehe yangu kwa kupiga punyeto. Naombeni ushauri wadau nifanyaje...
  7. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Ukitumia tshirt zangu ni 15000/=
  8. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Oky. Mchanganuo ni kama hivi. Printing machine zinapatikana kariakoo. Kuanzia 2.2m nakuendelea kulingana na ukubwa wa machine. Lazima uwe na computer. Rangi pia na vifaa vingine vya uchoraji. Pia lazima ujue kuchora maana kuna logo zingine hazikubali machine inapidi uweze kuziandaa. Pia kuna...
  9. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Ukija na t-shirt zako bei ni 5000/= Lakini t shirt zikiwa nyingi zaidi ya kumi tunaweza kukufanyia kwa 4000.
  10. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Gharama nikama 3.5M Japo kama utaweza kwakutumia local material gharama ninafuu japo itakucost muda
  11. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Logo unayoihitaji mwenyewe mkuu. Tunapenda upate kitu unachokihiitaji mwenyewe. Japo zipo logo zetu na kama unayo yako tunakuundia tu
  12. jussine

    Tunaprint t-shirt

    Tupo dodoma. Mawasiliano ni 0757877963 0718877410
  13. jussine

    NECTA yatangaza matokeo ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2017. Shule kanda ya Ziwa zang'aa

    Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la Tanzania Dkt Chares Msonde Dar es Salaam. Baraza la Mitihani la Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya mtihani wa darasa la saba leo Oktoba 20,2017. Katibu Mtendaji wa Necta, Dk Charles Msonde amesema watahiniwa 662,035 kati ya 909,950 waliofanya...
  14. jussine

    Msichana kaniona mara moja tu kanitongoza. Hivi ni umalaya au uhuru wa kuongea?

    Siku moja pitapita zangu kitaa cha Dodoma town niliitwa chemba na binti mmoja ambaye alijitambulisha anasoma CBE. Alifunguka kuwa ananipenda sana na alikuwa akinitafuta mda mrefu sana. Dahhh nilishindwa chakumwambia akachukua namba zangu so kila time ananisumbua. Nimjibu vipi jamani?
  15. jussine

    Kibamia

Back
Top Bottom