Emmaloy
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 214
- 226
Miaka miwili iliyopita taifa lilifanya uchaguzi mkuu wa kuchagua raisi wa nchi, wabunge na madiwani, maisha ya sasa hivi ya raia wa Tanzania ni matokeo ya uamuzi wa kura yake siku ya jumapili tarehe 25/10/2015. Katika kipindi cha muda mfupi inasemekana ukusanyaji wa mapato umeongezeka na pia uchumi wa nchi unakua na kuimarika. Cha kujiuliza ni namna gani tumejiandaa kikamilifu kuhakikisha tunakuwa na taifa linaloelekea uchumi wa kati, taifa la viwanda, elimu, afya na miundombinu iliyo bora.? Bila kuwa na kizazi cha watu waoga na wanaojipendekeza.
Tunapokuwa tunaiongelea zaidi sekta ya viwanda nchini ni vizuri kuwa na mipango stahiki na endelevu kuanzia mtaani, shuleni, vyuoni mpaka serikalini kuhusu namna sahihi ya kufufua viwanda vilivyokufa na kuviendeleza na kuongeza vingine vipya, na hii itawezekana endapo tu tutaamua kuwaacha wataalamu wenye ujuzi kufanya kazi zao bila kuleta siasa katika maarifa.
Elimu, elimu, elimu, maamuzi makini, ninachokiamini elimu bure itakuwa na manufaa makubwa kama itatusaidia kutatua changamoto zinazotukabili nchini. Hayati baba wa taifa alipata kusema maneno haya, namnukuu "Acha watu wa America na Ulaya waende katika sayari za mbali, ila sisi wa Africa tupeleke maji ya bomba kwa wananchi"
emmaloy72@gmail.com
+255 656 629352
Emmanuel...@Public Figure (PF)
Tunapokuwa tunaiongelea zaidi sekta ya viwanda nchini ni vizuri kuwa na mipango stahiki na endelevu kuanzia mtaani, shuleni, vyuoni mpaka serikalini kuhusu namna sahihi ya kufufua viwanda vilivyokufa na kuviendeleza na kuongeza vingine vipya, na hii itawezekana endapo tu tutaamua kuwaacha wataalamu wenye ujuzi kufanya kazi zao bila kuleta siasa katika maarifa.
Elimu, elimu, elimu, maamuzi makini, ninachokiamini elimu bure itakuwa na manufaa makubwa kama itatusaidia kutatua changamoto zinazotukabili nchini. Hayati baba wa taifa alipata kusema maneno haya, namnukuu "Acha watu wa America na Ulaya waende katika sayari za mbali, ila sisi wa Africa tupeleke maji ya bomba kwa wananchi"
emmaloy72@gmail.com
+255 656 629352
Emmanuel...@Public Figure (PF)