Hii kampuni gan mkuu?
Unayapataje mkuu?Nenda tigo kuna migb ya kumwaga
VodaHii kampuni gan mkuu?
walinifrustate...nilpoenda sehemu za vijijini...hata kwenye edge wave hawapatinaki. Yaani nilinunua line kwa moyo mmoja nikijua naichangia serikali yangu moja kwa moja. Waongeze upatikanaji wao nchi nzima bila vikwazo. Watu tunahitaji sana kutumia bidhaa za kitanzania. Na kwenye TTCL ninajisikia niko safe.TTCL wajiandae kunipokea soon
Tigo Wamejirekebisha Kwenye University Offer walikuwa Wajinga Hapo nyuma KidogoView attachment 659821 unabonyeza ofa maalum View attachment 659822 unabonyeza university View attachment 659824 chagua kifurushi unachokipenda kuendana na pesa yako View attachment 659827 na zaidi
washanifukuza hapa, Tangia juzi kila nikiunga kifurushi cha 500 najiuliza kwann kinaisha fasta kumbe nlikuwa sitilii maanani kusoma kifurushi kimepungua mb 500 hadi 350, Bye Bye Halotel, Hongereni kwa kunipoteza mteja nliekuwa naunga kifurushi cha 2,500 kila siku ili nipate gb 2.5
duu pole san nitafute_*HALOTEL BUNDLES*_Wapuuzi kabisa hawa halotel leo niweka air time 10,000/- nikitegemea 1GB dk 80 mitandao yote na dk1000 halotel. cha ajabu nimeambulia 6000MB.
Hatari kwelikweli wamepiga parefu sana. Mfano bando la mwezi toka 10Gb mpaka 6Gb.Nadhani mmefikia ukomo wenu wa kutuhudumia wateja wenu ambao tuna matumizi mazuri ya internet, kwa hili bundle la wiki university offer kutoka kwenye dk 15 hadi 10 za mitandao yote hili halikuwa shida sana, ila kutoka 1200MB hadi 800MB, hapa mmegusa mfupa ngoja turudi kwa wahenga Voda dk zetu zile zile na 1GB at least.
Mkuu hizi line zinapatikana wapi??..na vp khs vocha madukani zipo kwelihamieni ttcl gb 3 kwa 2500 kwa mwezi na dakika kibao + sms
nmecheka kwa sauuuuti.MB zao zinaserereka kama zipo kwenye Mteremko. Ukifungua tu Uzi wa Mshana ule wa uchawi ukirudi kwenye Wazee wa kubet zimeisha.