ile january tu mahusiano yalinichapa kisawasawa ,nikajaribu kulima mvua ikazidi mazao yakaenda na maji, mwezi wa 8 nilipata tuhuma kali ya kutembea na mke wa mtu yule mama hata sijawahi kumsemesha ila nilivyofuatilia kumbe kuna siku rafiki yangu alikuja ninakoishi kunicheki mda huo yule mama...
Sasa hivi kumekuwa na wimbi kubwa sana la ndoa sogea tuishi hali iliopelekea kupoteza na kuondoa heshima na ladha ya ndoa kwa ujumla.
Unakuta binti jioni yupo kwao asubuhi mnaamka mnamwona kwa John ukiuliza utaambiwa kaolewa unajiuliza mbona ndoa zimekuwa rahisi hivi kumbe sogea tuishi.
Baada...
Ukifanikiwa kufika Dar hakika utaona tofuti kubwa sana na miji mingine ila utofauti upo kwa wakazi wake. Dar kila mtu mjanja, ukifika Dar baada ya muda utavuliwa tu uraia wa mkoani iwe kwa kutapeliwa ama kukabwa ni kama utaratibu halali ila mimi najiuliza ile mihongo, vipande vya nazi, karanga...
Kuna ndugu yangu ambae kwa sasa ni marehemu alifariki mwezi wa 2 mwaka huu huko Arusha baada ya mazishi vikao vya kifamilia vilifanyika na kikubwa ilikua kuhusu mali za marehemu pamoja na watoto marehemu alikua na watoto 3 ndani ya ndoa na 2 nje ya ndoa lkn hawa wa nje ya ndoa walikua...
hivi ukiwa umetoka kanisani na una hisi njaa na nyumbani pana ka umbali unaweza kupita ama kuingia bar ukapata japo supu au mchemsho ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna story niliisoma jana imetokea huko Saudi Arabia kuna dada amemshataki mume wake kwasababu mume wake anampenda mno.
Alihojiwa na mahakama amewahi kukupiga au kukufanyia fujo akasema hapana tangu wameoana hajawahi kumfanyia jambo lolote la kumvunjia amani kitu ambacho dada hapendi...
Niende moja kwa moja kwenye maada nawauliza hasa wanaume wenzangu hivi mnawezaje kuhimili pindi unapoachwa na mke au mpenzi wa dhati maana naona kama kwangu imekuwa gunia la misumari ndani ya moyo nimekuwa mteja gafla wa bar jirani pia nimeshindwa hata kufanya kazi na mbaya zaidi suruali...
Huu mji wa Dar una wenyewe sisi tunaotoka mikoani unaweza ukaumbuka asubuhi asubuhi tu hivi nyie vidume wa Dar mnahimili vipi msongamano wa kwenye usafiri hasa mwendokasi au nanihii zenu mpaka peee leo asubuhi.
Nimetoka Kimara naenda mjini hio nyomi balaa sasa mbele kuna mdada na nyuma kuna...
Habari awali ya wote nimshukuru mwenyezi mungu kwani bila yeye hakuna jambo linakuwa
Jamani kichwa changu kina mikunjo je inasababishwa na nn na je kuna tiba yeyote? Mikunjo ipo kwenye ngozi ya nywele
Habarini wana jukwaa kiufupi namshukuru mungu maana bila yeye nisingekuwepo kabisa nakumbuka mwezi wa sita nilipata kibarua mkoani singida cha ujenzi nilianza kazi japo mazingira yalikuwa magumu lkn nilikomaa na nilimuomba mungu pia na baada ya mwezi nikafanikiwa kukabidhi kazi wakati wote wa...
Sina shaka mungu ametujalia kuiona ck nyingine tena ambao hamkufanikiwa kusimama na kutembea mola awape wepesi tena naomba kujua kupitia jukwaa hili kwani kuna wataalam na wabobezi wa mambo mbalimbali napenda kuuliza ni kwa nn alama za vidole havifanani kati ya mtu na mtu
Halafu kuna jamaa...
Naamini jpl iko nzuri Kwa kila alie jaliwa kuiona ktk pita pita zangu za kupiga vibarua sehem tofauti tofauti nimegundua hz dawa za kuongeza siku za kuishi hazitakiacha kizazi hiki salama mbaya zaidi wengi wetu hatupendi kutumia salama na kila ck vijana wanapishana Kwa vibabu kutafuta power jeck...
Kuna kitu napenda kuuliza hasa wakazi wa Dar, hivi haya makanisa ya Dar mbona wanahubiri sana kuhusu kufanikiwa na si kutubu na kuokoka sina maana mbaya ila ni tofauti sana na huku nilipotokea mimi ni mkulima tu wa vitunguu huko kati.
Kwa sasa nipo kwa uncle Dar na uncle ni muumini wa hizi dini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.