2021 ilikuwa ya moto sana kwangu

2021 ilikuwa ya moto sana kwangu

gidlameck

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2016
Posts
618
Reaction score
532
ile january tu mahusiano yalinichapa kisawasawa ,nikajaribu kulima mvua ikazidi mazao yakaenda na maji, mwezi wa 8 nilipata tuhuma kali ya kutembea na mke wa mtu yule mama hata sijawahi kumsemesha ila nilivyofuatilia kumbe kuna siku rafiki yangu alikuja ninakoishi kunicheki mda huo yule mama anapita mitaa hio jamaa akamwita karibu na home wakaanza kuongea nae aliewaona akatafisiri ni mm mwezi wa 10 uchumi ulinishambulia nikashindwa hata kumpeleka mtoto chuo hili limebaki kama kidonda mpaka sasa 12 hii sioni tumaini lolote mbele yangu kiufupi nimefanikiwa kuona wenzangu wakijenga wakifungua miradi hilo ndio nililofanikiwa mola nipe mwisho mwema. wakumbuke hata wale walioko mahospatalini wakiwa na shida ya afya wape tumaini jipya niwatakie mwisho mwema wa mwaka.
 
ile january tu mahusiano yalinichapa kisawasawa ,nikajaribu kulima mvua ikazidi mazao yakaenda na maji, mwezi wa 8 nilipata tuhuma kali ya kutembea na mke wa mtu yule mama hata sijawahi kumsemesha ila nilivyofuatilia kumbe kuna siku rafiki yangu alikuja ninakoishi kunicheki mda huo yule mama anapita mitaa hio jamaa akamwita karibu na home wakaanza kuongea nae aliewaona akatafisiri ni mm mwezi wa 10 uchumi ulinishambulia nikashindwa hata kumpeleka mtoto chuo hili limebaki kama kidonda mpaka sasa 12 hii sioni tumaini lolote mbele yangu kiufupi nimefanikiwa kuona wenzangu wakijenga wakifungua miradi hilo ndio nililofanikiwa mola nipe mwisho mwema. wakumbuke hata wale walioko mahospatalini wakiwa na shida ya afya wape tumaini jipya niwatakie mwisho mwema wa mwaka.
Nayatambua maumivu yako na changamoto unazopitia, muda wangu umekuwa mchache na mambo yamekuwa mengi sana, sijapuuza nakukumbuka sana.. Kikubwa ni pumzi na siha njema.. Mungu atatenda kitu juu yako 2022.. Lakini nina imani tutaonana kabla mwaka haujapinduka
 
Lakini nina imani tutaonana kabla mwaka haujapinduka[emoji27][emoji27]
I will keep my promise
Screenshot_20211218-043708.jpg
 
ile january tu mahusiano yalinichapa kisawasawa ,nikajaribu kulima mvua ikazidi mazao yakaenda na maji, mwezi wa 8 nilipata tuhuma kali ya kutembea na mke wa mtu yule mama hata sijawahi kumsemesha ila nilivyofuatilia kumbe kuna siku rafiki yangu alikuja ninakoishi kunicheki mda huo yule mama anapita mitaa hio jamaa akamwita karibu na home wakaanza kuongea nae aliewaona akatafisiri ni mm mwezi wa 10 uchumi ulinishambulia nikashindwa hata kumpeleka mtoto chuo hili limebaki kama kidonda mpaka sasa 12 hii sioni tumaini lolote mbele yangu kiufupi nimefanikiwa kuona wenzangu wakijenga wakifungua miradi hilo ndio nililofanikiwa mola nipe mwisho mwema. wakumbuke hata wale walioko mahospatalini wakiwa na shida ya afya wape tumaini jipya niwatakie mwisho mwema wa mwaka.
Mkuu Pole Sana ila kikubwa ni uzima na mitihan yote utayapita.Dedication kwako Wait for You ya H_ART THE BAND fet Matt Owegi
 
Nayatambua maumivu yako na changamoto unazopitia, muda wangu umekuwa mchache na mambo yamekuwa mengi sana, sijapuuza nakukumbuka sana.. Kikubwa ni pumzi na siha njema.. Mungu atatenda kitu juu yako 2022.. Lakini nina imani tutaonana kabla mwaka haujapinduka
amina kaka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom