gidlameck
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 618
- 524
Ukifanikiwa kufika Dar hakika utaona tofuti kubwa sana na miji mingine ila utofauti upo kwa wakazi wake. Dar kila mtu mjanja, ukifika Dar baada ya muda utavuliwa tu uraia wa mkoani iwe kwa kutapeliwa ama kukabwa ni kama utaratibu halali ila mimi najiuliza ile mihongo, vipande vya nazi, karanga wanaouza wale kina dada kwenye foleni za magari ni ushahidi tosha kuna tatizo la kiufundi mahali.
Mikoa mingine hio biashara hakuna
Mikoa mingine hio biashara hakuna