Very true coz kuna jamaa napiganae kaz wizara flani ivi akavuta Ist mpya wakat mishahara yetu imeandamwa na ma bank makato daily kumbe upande wapili ni criminal sasa anafaidi utamu wa gereza
Wote wanao beza mafanikio yamtu isitoshe hata pesa yakula ina mshinda lakini kutwa kukashifu mafanikio ya mtu kama huna huna tuu kubali yote maisha co umejifungia chumbani na li cm lako hatakula hujala masikin unabwabwaja tuuuu ' c diamond wala Ally wote nawatakia mafanikio mema pigeni kazi...
Saiz hakuna ujuz tena bolaliende watu tunamsongo wa mawazo kodi yanyumba, adazawatoto, kodi yameza sasa hukokugeuzana geuzana mara kuinamishana, kama wana sarakasi haifai NASEMA HIVII HAKAMA HUNA PESA UTAKIMBIWA TUU, mapenzi pesa ujuzi veta OVA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.