Hivi Prof. Jay kwanini tu asiache muziki?

juvenile davis

JF-Expert Member
Apr 13, 2015
4,752
4,449
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
 
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Mziki ndio umemfikisha hapo alipo hawez acha mziki hata kama katoa nyimbo mbovu
 
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
Ili iweje?
 
Leo nimebahatika kusikia ngoma yake mpya inayoitwa KIBABE ni ngoma mbovu kupindukia,ni ya kawaida sana ,kama sio mpya na kama sio ya msanii mkubwa.hivi ni kwa nini hawa wasanii wa zamani wasiache tu muziki? Mbona wengi wao wanatoa ngoma mbofumbofu sana? Kwa nini hawataki kuamini kwamba muziki umewatupa mkono?mbona maproducer wakongwe wameacha kurekodi baada ya kuona zama zao zimekwisha?,
hivi wewe ndie Gwanter? samahani lakini
 
eti plof hata kuandika hujui unakuja kukosoa humu sidhani kama una uwezo wa kutofautisha nzuri na mbaya maana wewe umedhihirisha ni wa mbaya huenda umegeuza kibao
 
Inabidi ujue prof sasa hivi anafanya mziki kama starehe tu, mziki ndio hobi yake so sasa hivi anaimba tu si serious kivile ukijua hilo uwezi mdharau prof Jay,

Mashabiki wa Jay tunajua Jay ni mziki mwingine bro ebu tafuta kazi zake ndio utajua Jay vip
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom