Mchumba mpya wa Wolper achafua hali ya hewa

Ebana hapo kwenye kuishi kama shetani ndio ujenzi wa taifa wenyewe, na hatuna namna tutaikwepa. Na kila mmoja zamu yake itafika tu hakuna namna.

Bana huyo mama sometimes naonaga ana logic lakini uwasilishaji wake ndio mbovu na hasa akichanganya na shombo! Kuhusu wafuasi hilo alishajihakikishia siku nyingi hata atumie lugha gani nzito hawezi kuwapoteza!.
Mkuu,
Sasa huo uwasilishaji wake wa lugha zinto kama za jumba la brazzers brazzers watu makini wanamuondoa katika "list" Yao.


Hakuna mshauri wa aina hiyo wa kung'ata na kupuliza.
 
Madudu yake ya nyuma ya bumburuka mtandaoni

1084837e0e9a4c28b50386a41d49a396.jpg


Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Je umeelewa nini katika picha
MCHICHA MWIBA !!!:(:(:(:(:(
 
Kweli dunia bhasi tena...
Hivi ni kweli wahuni wanafanya yao au ni fununu

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
Kuna ka mjadala hapa, kuwa mtu anayekula ni basha na anaeliwa ni shoga. Inakuwa ngumu sana kuwa mlaji pasipo kuliwa huo ndio ukweli.
 
Madudu yake ya nyuma ya bumburuka mtandaoni

1084837e0e9a4c28b50386a41d49a396.jpg


Sent from my Halotel H8401 using JamiiForums mobile app
Je umeelewa nini katika picha
Maweee.
Huyo kaka mbona kama namjua?
Au namfananisha?
Samahani wakuu huyo aliyevaa tishert nyeupe ndo mfanyaji au mfanywaji.
Kweli maisha magumu kama ndio kafikia hatua hii ndio basi tena.
 
Back
Top Bottom