Hivi EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao vipindi hadi kufanya na huyu mkaa uchi????

Yaani Mtoto mdogo lakini kwa sababu anatumika sana, anaonekana Mzazi wa watoto 9.
Duh! Si kwa kuchoshwa huko. Kama kuna ndugu,rafiki wa karibu amshauri mazuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Apo tumboni vipi? mmmmhhhhh mambo aya wafanye kina Tunda
Ila ile TV inaitwa kwa ajili ya vijana tu ndio maana imetengwa Wahenga anglieni ITV na Vibinti ni EATV ndio maana ata watangazaji ni vichekibob kina Tibyaw, Sam misago na hakunaga taarifa ya Habari kule...ni burudani kwa kwenda mbele mambo ya Friday 9gt, Amshaamsha na usiku mnene n.k
 
Apo tu
Hivi karibuni katika pita pita zangu kwenye mitandao ya kijamii ili kujipatia habari nilikutana na picha chafu za uchi za binti wa Kitanzania ambazo nilifanya kuzipotezea,kilicho ni shangaza siku chache zilizopita sura hiyo hiyo nimeiona EATV ikifanyiwa kipindi Je nikwamba hawa EATV wamekosa kabisa wa kufanya nao kipindi hadi kumpa nafasi mkaa uchi?


Picha hapo chini ni binti huyo akiwa kwenye kipindi EATV
1528a70811ff47cfb921c0ed389f74dd.jpg


Na picha hii ni moja ya picha za huyo binti ambayo kidogo inaweza kutazamika maana zingine ziko vibaya siwezi kuziweka
9931750a5f96796aff17298af86d0f13.jpg


-Ndumilakuwili-
Apo tumboni vipi alijifungua tatoo au tatoo mbona anatia kinyaa
 
Ungejua baasi nakuongezea heshima wala usingelalamika. Zamani mlikua mnaitwa baby,ila saiv hawa warembo wakisikia unaiywa babu hawachelewi kukubatiza jina la mhenga
Hata hivyo mi ni mhenga na najisifia kuwa mhenga. Uhenga wangu umeniondoa kwenye list ya wanaume wa Dar...
 
Zoom hiyo picha ya pili,ana magonjwa sugu mapajan hadi kwenye nanilii. Huyu binti anajidhalilisha sana kisa kutafuta umaarufu

Kuna ile picha anachorwa tattoo ya tako aisee
Angalia vizuri kitovu chake mkuu. Huyo siyo binti ni MHENGA
 
Mbona hadi anatia kinyaa, hiyo ngozi yake hapo tumboni loh! Hata km aliwahi kuzaa sio hivyo. Mm pia nimezaa lkn tumbo langu liko fresh tu yaan no mchirizi no kutepeta.
 
Congrats, tatizo hajijali haoni thamani ya mwili wake ndo maana kawa hivyo. Angeujali tumbo lingekaa vizuri
Mbona hadi anatia kinyaa, hiyo ngozi yake hapo tumboni loh! Hata km aliwahi kuzaa sio hivyo. Mm pia nimezaa lkn tumbo langu liko fresh tu yaan no mchirizi no kutepeta.
 
Congrats, tatizo hajijali haoni thamani ya mwili wake ndo maana kawa hivyo. Angeujali tumbo lingekaa vizuri
Yaan umaarufu huu, mtu yuko radhi kufa na tai shingoni ili mradi tu awe maarufu. Kwangu mm naona anajiaibisha tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom