BBC siyo?Mm nafikiri,kwa kua anapenda kiingereza,angeacha kaz hapo clouds, kwakua anatangaza kwa kiswahili harafu angejiunga na redio zinazotangaza kwa kiingereza.
Ingekua kuna kitufe cha kudelete sehemu ya maisha,angefuta hicho kipandeEti Zitto nae amewahi kudate hiki kituko.. Teh teh
Du ubaguzi wake tu mapenzi sio lughaAnajizeekea tu!
Siku akijishtukia umri umeenda ataokotwa na mswahili wa kawaida sana
Wasalaam wana jamvi.
________________________________________
Mtangazaji wa kipindi cha Ala za Roho cha Clouds FM, Diva The Bosslady amefunguka kwa kudai kuwa hawezi kudate na mwanaume ambaye hajui kuongea kingereza kwa kuwa yeye katika maisha yake huongea Kiingereza zaidi kuliko Kiswahili.
Akiongea na waandishi wiki hii, Diva amedai wanaume ambao amewahi kutokana nao wanazungumza lugha hiyo ambayo amedai inamvutia sana. "Sipendi mwanaume ambaye hajui Kiingereza, napenda kudate na mwanaume ambaye anajua Kiingereza," alisema Diva. "Yaani imetulia na inapendeza kwa sababu siyo local local, wapo ambao waliwahi kunitokea lakini baada ya kujua hawajui kingereza nikawatosa," Alisema wanaume wake wengi anakutana nao kwa mara ya kwanza kupitia kipindi chake cha Ala za Roho kwa kuwa ndio sehemu ambayo atakutana na watu mbalimbali.
Mtangazaji huyo ambaye pia ni muimbaji wa muziki kwa sasa anatoka kimapenzi na muimbaji 'Heri Muziki'.
Watakuwa waandishi wa udaku
gegedo lapiga ngeri.sitaki kusikia.Gegedo linagegeda kwa kingreza sio?
Duu ubaguzi huo elim garama jamanAnajizeekea tu!
Siku akijishtukia umri umeenda ataokotwa na mswahili wa kawaida sana
Tena Mbabaikaji anaonganisha maneno baada ya visekundeHeri muziki!!
Si alikuwa na GK huyo!?
BBC world service upande was Radio ili wakuchukue, sio tu kiingereza hata content matters.BBC siyo?
twaviboinewakola waitu, abashaija wabibona?