Natafuta Nyumba ya kupanga,iwe na Vyumba 3 ,.Maeneo iwe Njia ya Goba kutoka Mbezi mpaka Masana au kutoka Goba Senta mpaka .Mwisho wa Daraja Mwelekeo Makongo,Offer yangu 200,000/= kwa Mwezi
Karibu kwa Mwenye nayo
+255-683-011-022
Transformer mpya Mbili zinauzwa
33kv 1000kva -400V
33kv 50 kva -400V
Zilinunuliwa kwa Ajiri ya projects,
Sasa hakuna tena Project zinauzwa
Karibuni Wadau......
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu zangu wana JF ninapata maumivu makali sana katikati ya kifua sasa yapata mwaka mmoja na miezi 8, pindi nitembeapo na hasa umbali kuanzia mita 50 yanatokea maumivu makali sana katikati ya kifua,pia nikioga yanatokea,nikiwa na hasira yanatokea hayo maumivu makali sana,nimejitahidi kubadili...
Duka zuri la Vinywaji vya Lejaleja linauzwa Dar es salaam maeneo ya Mbezi ya Kimara, lipo sehemu lilipo soko la Mbezi zamani Uwanja wa Shule...... Unaruhusiwa kuja kuona mzunguko wake wa Biashara...... Bei yetu ni Makubaliano...... 0683-011022
Karibu kuna kiwanja kizuri kinauzwa Maeneo ya Airport kinafaa kwa Hotel,Airport hakuna Hotel nzuri ya kisasa,Karibu uwekeze,ukubwa wa Eneo ni SQM 8914
KARIBU SANA BEI MAELEWANO..,....
Ndugu zangu wana JF jukwaa ambalo ni Darasa tosha,kuna Jambo naomba kueleweshwa pia kuelimisha wengine ambao watapitia katika Andiko hili;-
Huku maofisini pamejitokeza Sintofahamu ya Baazi ya viongozi wetu kuwasumbua wale wafanyakazi ambao Majina yao yameonekana kwenye Rist ya Vyeti...
Ndugu zangu Wa JF naomba msaada kwa ambae nafahamu juu ya hili.
Mtoto wangu alikuwa anaumwa na Sikio,lilikuwa likitoa Usaha,March 13 tukampeleka kwa Doctor akampatia Dawa,moja ya kuweka kwenye sikio lenyewe inaitwa CIPROFLOXACIN EYE/EAR DROPS(cipro-cent) unaweka Matone mala Tatu kwa siku,pia...
Natafuta Gar aina ya Benzi zile za kizamani,natafuta kwa ajiri ya kutoa Mbao vijijini kuleta Mjini.....Benzi ina uvumilivu mkubwa pia Spare zake zinapatikana.....ukipata njoo In Box au piga 0715-011022
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.