Dah kumbe 2po weng, ushauri wa kujiajiri ni mgumu na unachallenge zake (1) lack of capital (2) experience (3) most of us graduate we are n't ready psychologically to be entrepreneur,(4) poor gvt policy (5) condtn of gettn loan frm micro- fnc usiombe! Mi mwenyew ni graduate wa sua lakn college...
Ngoja mi nseme kitu, paul makonda, 2lianza nae chuo 2007, mi nikiwa nachukua shahada ya ununuzi na ugavi, ila yey alichukua shahada ya menejiment ya ushirika na uhasibu. Ni kwel alidisco na akaomba kuanza upya tena shahada ya community economic devpt, na alipofika mwaka wa pili alipospond mwaka...
Habarini wana jf jukwaa lenya watu makini na kutetea wanyonge, napenda kuanza kama ifuatavyo, kwa sisi tulizaliwa mwaka 1986 nakumbuka tulipitia pre- primary school na kupata kikombe cha uji na maziwa maisha hayakuwa shida na kufanikiwa kujiunga primary school ambapo kuanzia mwaka 1994-2000...
@geophysics sory nafikir status ya vyuo utapata tcu na inawezekana haujaangalia miaka kama mitano hv, ngoja nkupe shule ni branch ya SUA, na ni chuo kweny ukanda wa jangwa la sahara pekee cha biashara na ushirika, so kinajulikana labda wew2 hukifahamu na unashangaza sana na ni chuo pekee...
Hi, jamani kama jina langu lilivyo jobless ni muhitimu wa chuo, nmemaliza shahada ya kwanza chuo kikuu kishiriki cha ushirika na studi za biashara (muccobs) ba-procurement and supply mgt. Nna upper second gpa. Kama kuna m2 anamsaada kwang kupata angalau sehemu ya kujishikiza mawasilianao email...
We m2 wa wap? Aisee kweny mambo ya mungu hakuna usomi, kwanza hujasoma bible vizur, c kila m2 ni mtakatifu wa kupewa karama ya uponyaji, mungu humteua mmoja katika kundi kwa ajili ya kudhihirisha ukuu wake, peleka upuuz wako huko
Huu sasa ndo udini mbele na kuacha nyuma maslah ya nchi, cion kosa la maaskof , ni freedom of speech, tumsifu yesu kristo , bwana asifiwe mi naona niwe upande wa maaskofu tu maana hawa jamaa c wazur, na chama changu chadema. Usiulize kwa nn?
@genius brain, we chalii akili zako za kuku, we uwezo wa kufikir mdogo , na huna uchungu na kizaz kijacho , cjui nkwambiaje , 2nahitaji katiba mpya hata wasomi wanaunga mkono sasa unaleta ujinga ujinga2.
Mi pia nkiwasha inaniandikia your battery is low start window normally but nkichoose hapo inazima na kurestart tena wakati nmechomeka adapter kwa muda mrefu na nkichek level ya battery nakuta imejaa lakin haija be installed je ni tatizo gani?
Muccobs ni chuo kikuu kishiriki cha ushirika na biashara ni branch ya Sua, kilipata kuwa university mwaka 2004, ningependa kusema kwamba tangu kipewe hadhi ya kuwa chuo kikuu kishiriki hamna darasa wala jengo lolote lililojengwa zaidi ya kubadili canteen kuwa lecture hall, dept ya kuhifadhi...
Da ama kwel kama nlivyonena ugenini kaz yote haya yang, bado mengne yanakuja da but haina mbaya c kwamba kuwa jobless ndo ucgmix na wa2". No kujichanganya muhm mwisho jobless d'nt giv up da green pasture is near, and u d'nt hv any reason 2giv up!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.