Habarini wana jf jukwaa lenya watu makini na kutetea wanyonge, napenda kuanza kama ifuatavyo, kwa sisi tulizaliwa mwaka 1986 nakumbuka tulipitia pre- primary school na kupata kikombe cha uji na maziwa maisha hayakuwa shida na kufanikiwa kujiunga primary school ambapo kuanzia mwaka 1994-2000 tulilipa ada kwa ajili ya maendeleo ya shule na 2kafanikiwa kupata elimu bora ingawa ni kwa gharama lakini pasipo kupata kikombe cha uji au chai, baadae 2kafanikiwa kujiunga na shule za sekondari ndipo wengi wetu tukaanza kujitambua, mwaka 2002 serikali kwa kudai inaongeza kiwango cha elimu ikapandisha wastan, 2lipofika fm4 mitihani ikavuja na kufanya weng we2 kuishia hapo kwa kupata div 4 na 0, wachache 2lipigana na kuvuka lakini c kwa uzembe wetu bali ni kwa uzembe wa serikali, tukaendelea na kufika 2007, ambapo 2lifanya vizuri mitihani yetu 2kitegemea matokeo mazur kumbe serikali ilipanga mchezo mchafu dhidi yetu kwamba hawa ndo waliiba mitihani 2004 so lazima 2lipize ambapo walihitaji div 3 nying kwa ajil ya crash program kupata walimu weng kwa ajili ya mpango wa maendeleo kwa elimu ya sekondari, na wachache sana 2lijiunga na vyuo vya elimu ya juu, 2007 huku ndo sasa weng wetu tulifahamu zaid haki zetu na kuona ukandamizaji wa serikali kwa wanachuo ambapo kulikuwa na migomo kadhaa kuishinikiza serikali kutambua ugumu wa maisha na sera ya serikali ya cost sharing ambopo condition zake hadi leo zinatutia kifungoni kwa hivi vichache tulivyoweka co-lateral, na nakumbuka wakati tukidai haki zetu ili kurudi chuo mwanzo mwa mwaka 2009 tulilazimishwa kusaini form ya kuomba kudahiliwa upya na masharti magumu, lakin kwa kuwa ha2kuwa na uwezo wa kukataa ili2bidi tufanye hvyo tu, nakumbuka baada na haya yote chuoni kulingana na uonevu huu nakumbuka wengi wetu tulikuwa na shauku ya kuona mwaka 2010 ni mwaka wa mabadiliko na kwa nguvu zote tulikiona chama ambacho kitakachoondoa majonzi yetu, lakin baada ya kusikia kwamba 2mechoka kuonewa na tunataka mabadiliko, zilifanyika hila chafu kwamba kwa sisi tuliokuwa 2namaliza ha2kupewa haki ya kurudi makwetu kujiandikisha so at the end 2kawa ha2jielew na wenzetu walikuwa wanabaki walipewa matumaini watapiga kula wakiwa vyuoni lakin kwa ubabe wa serikali kweli halikutokea hilo, na baada ya kumaliza wana2dai mikopo yao, hawajatengeneza mazingira ya kujiajiri, harafu kwa ajira za serikali wamesema hela hamna hd bajeti ijayo so ni historia ya majonzi tupu takriban wahitimu wavyuo 10000, hawana ajira hadi sasa, hiv kwel watu kama sis utuambie kuna demokrasia na maendeleo tz, tunahitaji serikali yenye demokrasia na maendeleo kupitia (chadema)