Search results

  1. M

    Chakula kwa mtu wa operation

    Habari wana jf .... samahani naomba kufahamishwa ni lini hasa mtu aliyejifungua kwa operation anaweza kuanza kula kawaida tofauti na ndizi au viazi. Kwani havikai tumboni na mtoto ananyonya saana kwa hivyo unakuta muda wote mama ananjaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Dawa ya Ceftriaxone kwa mjamzito

    Habari zenu jmn.... hii dawa ya kuchoma kwenye mishipa kwa mjamzito kwa ajili ya uti ni salama? haiwezi kuleta madhara kwa mtoto. ujauzito ni wa wiki 28...
  3. M

    Tatizo la kuona kwa mjamzito

    Habari zenu. Naomba kupatiwa ufafanuzi mimi ni mjamzito sasa kwa muda si mrefu saana nona vitu vinapita kwenye macho kama mistari isiyo na shepu ( eye floaters) nimeenda kwa gyno zaidi ya mara nne anasema ni kawaida kwa sababu vipimo vyote vipo sawa... presha ipo sawa. Damu ipo sawa. Sukari...
  4. M

    Naomba ufafanuzi wa dawa hii

    Mimi ni mjamzito nimepewa dawa hii hosp sasa sijawah hata kuiona wala kuitumia je ni ya kazi gani.
  5. M

    Msaada kwa mjamzito wa haraka

    Habari zenu ndugu zangu.... nahitaji msaada wenu saana. Dada angu ni mjamzito wiki ya 15 sasa ila jmn hali yake haitaki kabisa kuimarika ni kutapika nyongo japo kwa sasa sio kila siku sasa kinachonileta kwenu ni rangi husika ya nyongo akianza kutapika inakuwa njano ile kali akiendelea inakuwa ya...
  6. M

    Msaada kuhusu amoxicillin kwa Mjamzito

    Habari zenu wana jf...... Mdogo wangu ni mjamzito mimba kama mwenzi mmoja hivi ameenda hospitali ameambiwa ana U.T.I na TYPHOID amepewa amoxicillin 250mg atumie kwa siku kumi na anakunywa 2×3 Je wapendwa kwa hali yake ni sahihi.
  7. M

    Kuna mtu amewahi kutumia hii cream?

    Kama kuna mtu amewahi tumia hii aniambie kwasababu nimeisoma haina vitu vya kuchubua ila imeandikwa whitening.
  8. M

    Msaada wa kazi katika mashirika ya kijamii.

    Habari zenu wana jf. Naombeni msaada wenu mimi ni muhitimu wa shahada ya uchumi na maendeleo. Kwa muda mrefu sasa nimetafuta kazi sijapata lakini moyo wangu unanisukuma kufanya kazi katika mashirika yanayoshughulika na jamii katika mambo ya ukimwi, watoto wanaoishi katika mazingira magumu, yaani...
  9. M

    Ulishawahi kuwa na rafiki halafu mkatofautiana?

    Habari zenu wapendwa! Kama kichwa cha habari kilivyo je umeshawahi kuwa na rafiki, namaanisha urafiki wa kawaida tu yaani kwa mwanamke ni mwanamke mwenzio(shosti) na kwa mwanaume ni mwanaume mwenzio(mshkaji). Halafu mkatofautiana kiasi kwamba ukajuta kuwa na urafiki nae? Karibuni kuchangia
  10. M

    Msaada kuhusu kusoma masters

    Habari zenu wana jf. Mdogo wangu amemaliza degree ya economic of development. Kwa sasa anataka asome masters ya community development. Kulingana na soko la ajira hii kozi ni nzuri au? Msaada wenu wa mawazo plz.
  11. M

    Samsung grand prime 530H

    Habari zenu.naomba kuelekezwa namna ya ku unlock hii simu kwa anayefahamu
  12. M

    Wanawake: Umeolewa lakini unachat na mume wa mwenzako

    Hivi wanawake tuna nini lakini, yaani wewe umeolewa na bado unamtafuta mume wa mwenzio na unalazimisha kumtumia meseji na asipo jibu unalalamika utadhani mumeo. Ukiulizwa si unamume wewe unasema eti hashiki simu yangu. Jamani heshimuni ndoa zenu kama hueshimu yako heshimu basi ya mwenzio...
  13. M

    Ni muda gani unashauriwa kukaa na mpenzi wako kabla ya kufunga ndoa?

    Habari zenu wana JF wenzangu, Je ni muda upi unashauriwa ukae kwenye mahusiano na mpenzi wako kabla ya kufunga ndoa? Maana naona watu wakioana mapema matatizo yakianza basi watasema hawakujuana vizuri na pia wakikaa mda mrefu matatizo yakianza watasema alificha tabia. Sasa ni kipindi gani...
  14. M

    Ni vyema kuichunguza familia unayokwenda kuoa / kuolewa

    Habari zenu wana JF wenzangu, Ningependa kutoa ushauri kwa wenzagu ambao bado hawajaoa wala kuolewa,jamani pateni nafasi ya kuzichunguza familia mnazotaka kuingia. Mnaweza kuwa mmekutana ofisini,chuoni,kanisani,sokoni au kwenye mitandao yetu ya kijamii na mkapendana sana,ila katika maisha...
  15. M

    Je, Ndoa ya kikristo yaweza kuvunjika?

    Habari zenu wana JF, Ni vitu vipi vinavyoweza kupelekea ndoa ya kikristo kuvunjika? Je kutofautiana na wakwe pamoja na mawifi kunaweza kusababisha?
  16. M

    Siku za kupata ujauzito

    Habari zenu wana jf. Nimeolewa nina miezi sita sasa kwenye ndoa yangu ila sijafanikiwa kupata ujauzito.nimejaribu kukutana na mume wangu siku za hatari kuanzia siku ya kumi na moja bila mafanikio. Hospitali nimepewa dawa za kukomaza mayai nilitumia mwezi uliopita.na siku zangu huwa na pata...
  17. M

    Natafuta ajira, Nina degree ya Uchumi na Maendeleo

    Habari zenu wana jf. Ninaishi dodoma mjini natafuta ajira.elimu yangu ni degree ya uchumi na maendeleo.
Back
Top Bottom