Kama unamakasiriko usije hapa. Sitaki ushauri, Majukwa ya maadili na ibada yapo. Usinifundishe namna ya kubehave najielewa vyema.
Ukinitukana nakuloga. Sasa skia.....Uhamisho wa kikazi unasumbua sana. We fikiria Mke yuko Geita kikazi na mumewe yuko Namtumbo Songea mwaka wa 5 na uhamisho umekuwa...
Hapa nataka tuelimishane kidogo jinsi ilivyo vigumu kuzuia USALITI kwa nguvu za kibinadam. Hili ni suala ambalo hakuna kanuni inayokubali kuuzuia kwa ukamilifu wa 100% kwani binaadamu ni kiumbe ambaye hubadilika kulingana na mazingira.
Sisemi kuwa kwamba ni lazima USALITI utokee kwenye ndoa au...
Kama unatamani hivi niwe Positive[emoji23]......kitaalam unaambiwa HIV ukiambukizwa inachukua siku 18 hadi 49 kusoma kwenye rapid test. Kaa kitaalam Jomba. Sijasema nilipekua ila nilikuwa na wenge. Unaweza usife kwa ukimwi ukafa na ajali death is parmanent.
1. Kwanza tizama kwa umakini kama kuna makubaliano baina yenu umekuwa unayakiuka. Mf ulimpiga sound kwamba mwaka huu unaenda kwao bibie anaona ulimdanganya.
2. Labda kuna kimeo unapiga kimya kimya kashtukia hivyo amesanuka amejivuta
3. Kuna mhuni kashapima oil tayari sasa bibie kahamishia huko...
Kuna mambo kwenye ndoa kwa ambaye haja oa anaweza asielewe
1. Kupata utelezi sio jambo la uhakika kwa 100%
2. Kuna wanawake wanatumia Utelezi kama silaha. Kidogo tu anazingua kutoa mzigo
3. Baadhi ya wanawake wavivu sana kutoa utelezi vizingizio vingi
4. Puchu ni kama urahibu kama dawa za...
Tafiti zinaonesha ukimwi umeshika kasi sana kwa mabinti age 18 hadi 30. Yaaani kundi hili ni balaa. Wengine wamezaliwa nao ndio wamefikia makamo ya kuanza kuzaa na mabinti wanadanga sana. Clinic kupima ni lazima hivyo takwimu zinatisha
NB. Hakuna anayeshare story ya maisha/Mikasa yake kwa nia ya kupata sifa. Kwanza hapa hatufahamiani, Siwezi tafuta sifa kwa watu ambao siwafahamu. Kwa hiyo comment zenu kama mna undugu na Malaika wa pepo au mna connection mbinguni huo ni upumbavu hence unaweza tafuta jukwaa la fellowship...
Kuna jambo utajifunza hapa, Kisa cha kweli 2015
Ilikuwa niko kikazi kwenye kazi iliyobidi niwe mbali na nyumbani kama km 80 hivi vijijini huko mishe za TASAF. Tukiwa site na michakati ya kikazi ikiendelea shughuri tulikuwa tunazifanyia kwenye ofisi za Kijiji opposite na shule ya msingi...
Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh.
Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa...
Ndugu yangu anaishi mkoa mmoja km karibu 700 toka yalipo makazi yake huku anafanua kazi. Huku kamuacha mkewe, Kwa kuwa ananyumba kumbwa na nyingine za kuzunguka amepangisha wapangaji kadhaa. Mmoja wa wapangaji miezi kama 3 iliyopita alimleta mpwa wake ili afanue Field katika taasisi anayofanyia...
Kwamba hajawahi sex kakupiga sound yaani. Pili kaenda huko kakuta inamkata. Anarudi kwako kubalancia hesabu yake. Ila kisasi nahisi kipo mbele yako. Wewe mwambie ukweli kuwa tangu muachane uliingia kwenye mahusiano na mtu mwingine ambaye mmefika mbali. Kisha mwambie muwe marafiki tu ila kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.