Search results

  1. Mwagito84

    Mke wangu anapitia wakati mgumu sana hadi nimemuonea huruma

    Siku 6 nazo siku......Bado hujawajua wanawake Master
  2. Mwagito84

    Ushauri: Niende jeshi au niendelee na biashara zangu?

    Laki 5 pure profit. Unamaanisha kwa mwezi unatengeneza Mil 15. Miaka 28 haaaaaa Basi sawa.
  3. Mwagito84

    Natafuta mpenzi

    Kama unamakasiriko usije hapa. Sitaki ushauri, Majukwa ya maadili na ibada yapo. Usinifundishe namna ya kubehave najielewa vyema. Ukinitukana nakuloga. Sasa skia.....Uhamisho wa kikazi unasumbua sana. We fikiria Mke yuko Geita kikazi na mumewe yuko Namtumbo Songea mwaka wa 5 na uhamisho umekuwa...
  4. Mwagito84

    Hakuna namna unaweza kufanya ili usigongewe mke

    Hapa nataka tuelimishane kidogo jinsi ilivyo vigumu kuzuia USALITI kwa nguvu za kibinadam. Hili ni suala ambalo hakuna kanuni inayokubali kuuzuia kwa ukamilifu wa 100% kwani binaadamu ni kiumbe ambaye hubadilika kulingana na mazingira. Sisemi kuwa kwamba ni lazima USALITI utokee kwenye ndoa au...
  5. Mwagito84

    Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

    Kama unatamani hivi niwe Positive[emoji23]......kitaalam unaambiwa HIV ukiambukizwa inachukua siku 18 hadi 49 kusoma kwenye rapid test. Kaa kitaalam Jomba. Sijasema nilipekua ila nilikuwa na wenge. Unaweza usife kwa ukimwi ukafa na ajali death is parmanent.
  6. Mwagito84

    Anapika chakula hanipi, hanifulii nguo halafu anataka ndoa

    Pika makofi kama sehem ya kurestart uone muelekeo...
  7. Mwagito84

    Jamani maji yamefika shingoni nimwachaje?

    1. Kwanza tizama kwa umakini kama kuna makubaliano baina yenu umekuwa unayakiuka. Mf ulimpiga sound kwamba mwaka huu unaenda kwao bibie anaona ulimdanganya. 2. Labda kuna kimeo unapiga kimya kimya kashtukia hivyo amesanuka amejivuta 3. Kuna mhuni kashapima oil tayari sasa bibie kahamishia huko...
  8. Mwagito84

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Kuna mambo kwenye ndoa kwa ambaye haja oa anaweza asielewe 1. Kupata utelezi sio jambo la uhakika kwa 100% 2. Kuna wanawake wanatumia Utelezi kama silaha. Kidogo tu anazingua kutoa mzigo 3. Baadhi ya wanawake wavivu sana kutoa utelezi vizingizio vingi 4. Puchu ni kama urahibu kama dawa za...
  9. Mwagito84

    Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

    Nilipunguza tu ukaribu. Kisha nikamwambia Wife amerudi anajingojelea ajifungue. Nadhani naye akajiongeza
  10. Mwagito84

    Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

    Tafiti zinaonesha ukimwi umeshika kasi sana kwa mabinti age 18 hadi 30. Yaaani kundi hili ni balaa. Wengine wamezaliwa nao ndio wamefikia makamo ya kuanza kuzaa na mabinti wanadanga sana. Clinic kupima ni lazima hivyo takwimu zinatisha
  11. Mwagito84

    Alinidanganya kuwa mumewe alikufa kwa stroke kumbe ngoma

    NB. Hakuna anayeshare story ya maisha/Mikasa yake kwa nia ya kupata sifa. Kwanza hapa hatufahamiani, Siwezi tafuta sifa kwa watu ambao siwafahamu. Kwa hiyo comment zenu kama mna undugu na Malaika wa pepo au mna connection mbinguni huo ni upumbavu hence unaweza tafuta jukwaa la fellowship...
  12. Mwagito84

    Nilinusurika kuambukizwa UKIMWI baada ya kufanya mapenzi bila kinga na muathirika

    Kuna jambo utajifunza hapa, Kisa cha kweli 2015 Ilikuwa niko kikazi kwenye kazi iliyobidi niwe mbali na nyumbani kama km 80 hivi vijijini huko mishe za TASAF. Tukiwa site na michakati ya kikazi ikiendelea shughuri tulikuwa tunazifanyia kwenye ofisi za Kijiji opposite na shule ya msingi...
  13. Mwagito84

    Narudia tena, wanawake siyo watu wazuri

    Unaweza kuta unachati na Mwamba. Ndio utajua hujui. Haya mambo ni ya hatari sana sometimes.
  14. Mwagito84

    Nahisi jamaa yangu anatoka na mwanafunzi, nimeshangaa sana

    Angenishirikisha sasa. Wife angetokea pale angenielewaje kwa mfano
  15. Mwagito84

    Nahisi jamaa yangu anatoka na mwanafunzi, nimeshangaa sana

    Juzi kati jamaa yangu akanipigia, Mshkaji nilisoma naye High school. Tulipotezana kitambo ila hamadi tukakutana town tukabadilishana namba fresh. Kwa sasa nimehamia kwenye kakibanda kangu ambapo jamaa since naanza ujenzi alikuwa hajawahi kuja though mimi kwake nimewahi kwenda kumtembelea, Jamaa...
  16. Mwagito84

    Jinsi Jirani alivyoliwa Mkewe na Jank wa Field

    Ndugu yangu anaishi mkoa mmoja km karibu 700 toka yalipo makazi yake huku anafanua kazi. Huku kamuacha mkewe, Kwa kuwa ananyumba kumbwa na nyingine za kuzunguka amepangisha wapangaji kadhaa. Mmoja wa wapangaji miezi kama 3 iliyopita alimleta mpwa wake ili afanue Field katika taasisi anayofanyia...
  17. Mwagito84

    Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

    We Peleka tu ila kutafuniwa lazima yaani.
  18. Mwagito84

    USHAURI: Ex wangu tuliyependana sana, nilimcheat aka-move on, kanitafuta turudiane tena

    Kwamba hajawahi sex kakupiga sound yaani. Pili kaenda huko kakuta inamkata. Anarudi kwako kubalancia hesabu yake. Ila kisasi nahisi kipo mbele yako. Wewe mwambie ukweli kuwa tangu muachane uliingia kwenye mahusiano na mtu mwingine ambaye mmefika mbali. Kisha mwambie muwe marafiki tu ila kama...
Back
Top Bottom