Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 33,648
- 75,732
I cant resist welcoming you....I should be running
.....you keep me coming for you..
I cant resist welcoming you....I should be running
.....you keep me coming for you..
I cant resist welcoming you....
Namna alivyokuwa ananipenda na kunitunza ( caring ), ... alifanya kila kitu ili nifurahie... mamaae walaya tabia yangu mbaya mbayaaa ndio ikamchosha mtoto wa watu, hadi one day before ya ndoa yake alinitafuta kwa simu tukapiga sana story na akaniambia anajua namna ninavyo umia ila hana jinsi.. mie mwehu sanaaa
Safi.Ukiumizwa hisia sana unabaki kuwa confused....unaona huwezi kumpata mwingine au hayupo wa kukupenda na kukubali tena.. so you are living in denial...wito kwa wote tuachane kistaarabu sio kufanyiana mbaya na kuishia kuwa damaged goods!cant move on..
IweMtu uliekua nae lazima itokeehasa kipindi cha mwanzoni iwe mmeachana kwa wema au ubaya
Usiende kuloga ndoa yake tuuNamna alivyokuwa ananipenda na kunitunza ( caring ), ... alifanya kila kitu ili nifurahie... mamaae walaya tabia yangu mbaya mbayaaa ndio ikamchosha mtoto wa watu, hadi one day before ya ndoa yake alinitafuta kwa simu tukapiga sana story na akaniambia anajua namna ninavyo umia ila hana jinsi.. mie mwehu sanaaa 😢😢😢😢🤕🤕🤕🤕
Siwezi fanya hivyo, maana nina mpenda sanaaaUsiende kuloga ndoa yake tuu
🤣🤣🤣🤣🤣Nimeachana nae miaka 9 lakini namkumbuka ni balaa na tunawasiliana kwa ajili ya watoto na tunakula tunda, anaishi na jamaa lakini nikimuhitaji anakuja muda wowote ingawaje naishi na mwingine. Napiga mahesabu ya kurudiana nae
Ukiona ana spend na mke mwenzio roho haiumi?Siwezi fanya hivyo, maana nina mpenda sanaaa
Good.
Ila unajua kwamba, wapo watu waliokata hata miaka mitatu tangu waachane na X wao, but still wanakumbwa na hiyo hali.
Je nayo ni part of process ya kumove on?.
Niko mbioni kuachana naye, mwisho wa wiki nitakutafuta tuongee.
Haya bwana mrs Athlete...inabidi mshiriki Olympic sasa kule Doha na Mr. Athlete
Unaonaje tupate Darasa kwanza, ili tusije umizana na sisi?Ukishaachana nae nichek mana na Mimi ndio niko mwishoni kumalizana nae huyu!