Labda kama i am missing a point in your story ila jamaa kakuchukulia poa, nakujaje kugonge mlupo nyumbani kwako?? Hayo ni madharau, afu kama na wewe ulimkaushia na wewe basi ulizingua, maana kuna vitu vya kuvichukulia poa na kuna vitu si vya kuchukulia poa kabisa