SALAAM..
Nachukua fursa hii kuwasilisha kwenu, shukrani za kipekee sana kwa Raisi wetu kwa kuja na sera ya viwanda ili Tanzania ielekee uchumi wa kati.
Japo kuwa changamoto ni nyingi sana kwenye sector hii ikiwemo uhitaji wa resources za kutosha hususa ni Umeme wa uhakika, ili kuifanya sekta...
Habari wakuu!
Naomba kupata MSAADA kisheria kwenye Hili. Kwa kawaida tunatakiwa kutumia Majina matatu kama utambulisho kwetu. Mfano. John Azra Lema. Vyeti vyangu vyote vya shule vina John Azra na Vitambulisho vyangu vya uraia vina John Azra Lema. Huwa linantatiza sana hili jambo. Naomba kupata...
Msaada wakuu..!
Kwa yeyote anaye fahamu jinsi ya ku_purchase mzigo eBay eg. Mobilephone, nawezaje kuepukana na mataperi na pia kuweza kupata kitu ambacho ni Og..kwa anayefahamu nitashkuru kwa maelekezo mazuri.
Habari wakuu! Nna cmu aina ya LG G2, cmu hii ni 4g lte sasa bas huwa inasoma 2g na 4g tu, Nnapojaribu kueka setting ya 4g mtandao unakata. Mpaka ss line inayotumia ni halotel na inasoma 2g pekee, Naulza wakuu kama naweza kupata utundu wa kuifanya...
Salaam wakuu..
Nahitaji msaada kiundani kujua hiyo kozi tajwa apo juu. Shughuri zake viwandani, je inakua applicable viwanda vyote au baadhi ya viwanda lakini pia management ake inakua vipi?
Natanguliza shukraan za dhati.
Nawasilisha wakuu
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
salaam wanajamvi...
Nahitaji msaada kiundani kuijua vizuri hii kozi tajwa apo juu. Shughuri zake viwandani, pia hiyo kozi inakua applicable viwanda vyote au baadhi ya viwanda lakini pia management yake iko vipi?
Natanguliza shukraan za dhati
Nawasilisha wakuu
Sent from my BlackBerry 9900...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.