LG G2 inashindwa kusoma 3G na H+

Genisys

Senior Member
Oct 14, 2015
158
93
Habari wakuu! Nna cmu aina ya LG G2, cmu hii ni 4g lte sasa bas huwa inasoma 2g na 4g tu, Nnapojaribu kueka setting ya 4g mtandao unakata. Mpaka ss line inayotumia ni halotel na inasoma 2g pekee, Naulza wakuu kama naweza kupata utundu wa kuifanya iweze kusoma 3g au H+. Halaf pia je, ikishndkana nkatumia line ya tigo 4g itategemea na sehemu ili 4g ikubali au sehemu zote itasoma 4g..Mwenye msaada na hili, Tafadhari!

Natanguliza Shukraan!
 
kuna uwezekano mkubwa hio simu yako haina 4g ya huku kwetu.

simu za kimarekani kuna kipindi fulani walikuwa wakiwadanganya wateja wao kwa kuiita hspa+ kama 4g hivyo ikiwa 3g ndio inaandika 4g

nenda setting then about ni lg g2 ipi? d8xx
 
kuna uwezekano mkubwa hio simu yako haina 4g ya huku kwetu.

simu za kimarekani kuna kipindi fulani walikuwa wakiwadanganya wateja wao kwa kuiita hspa+ kama 4g hivyo ikiwa 3g ndio inaandika 4g

nenda setting then about ni lg g2 ipi? d8xx
D801 mkuu
 
Habari wakuu! Nna cmu aina ya LG G2, cmu hii ni 4g lte sasa bas huwa inasoma 2g na 4g tu, Nnapojaribu kueka setting ya 4g mtandao unakata. Mpaka ss line inayotumia ni halotel na inasoma 2g pekee, Naulza wakuu kama naweza kupata utundu wa kuifanya iweze kusoma 3g au H+. Halaf pia je, ikishndkana nkatumia line ya tigo 4g itategemea na sehemu ili 4g ikubali au sehemu zote itasoma 4g..Mwenye msaada na hili, Tafadhari!

Natanguliza Shukraan!
Tafta D802 ndo international version inapiga bandwidth zote hasa tigo 800 au t.mobile ilikua inapiga 4g ya tigo
 
Tafta D802 ndo international version inapiga bandwidth zote hasa tigo 800 au t.mobile ilikua inapiga 4g ya tigo
Cm teyar nnayo nai2mia mkuu, ni LG g2 D801 ndiyo inanletea huo usumbufu..
 
hata mi hivyohivyo ila kwa chip ya halotel yan haisomi 3G au H+ ila tigo iko fresh sasa sijui tatizo ni nini natumia lumia 1520
 
pengine haijakuwa unlocked bado.

*#*#4636#*#* jaribu kupiga hio namba kama unapata response
mi nna g2 ila nikitaka kufanya software update inaniambia your device is not registered yet nifanyeje?? Anybody who can help ipo kitkat 4.4.2
 
Back
Top Bottom