Search results

  1. kilimomaarifa.tajiri

    Jipatie pdf (softcopy) za mazao mbali mbali

    Salaamu Karibu ujipatie PDF za mazao mbali mbali, Zipo PDF za mazao 11 (1. Viazi Mviringo 2. Hoho 3. Tikiti Maji 4. Vitunguu Maji 5. Parachichi 6. Kabichi 7. Pilipili Kali 8. Karoti 9. Bamia 10. Nyanya, 11. Tango). PDF zimeeleza kila kitu unachohitaji kujua kuhusu zao husika, kuanzia...
  2. kilimomaarifa.tajiri

    Unahitaji mtaalam wa kilimo wa kukuongoza namna bora ya kuzalisha mazao yako na kuyafanyia certification?

    Salaam ndugu zangu -Je unahitaji mtaalamu mshauri wa kukuongoza namna bora ya kulima mazao mbali mbali (Mazao ya Horticulture (Parachichi, Nyanya, Hoho, Tikiti Maji, Kabichi, Karoti, Pilipili kali, Vitunguu maji, Viazi mviringo, , Cereals (Nafaka-Mahindi, Mpunga n.k), na Beverage (Hasa Kahawa)...
  3. kilimomaarifa.tajiri

    Nyumba (Boma) inauzwa Ituha-Mbeya Mjini kwa Shilingi 10.5 Milioni

    -Nauza nyumba yangu, ambayo bado sijaezeka (boma limeshafika kwenye lenta), ina vyumba viwili (kimoja ni master), pamoja na sebule, -Nyumba (Boma) Ipo barabarani kabisa, ni umbali wa kilomita 1 kutoka Ituha mwisho wa lami. -Saizi ya kiwanja ni 20m kwa 20m, nyumba iko ituha-mbeya, karibu kabisa...
  4. kilimomaarifa.tajiri

    Kiwanja (20M X 20M )chenye boma kinauzwa Ituha --Mbeya Tsh 10.5 Milioni

    SALAMU WAKUU Nauza nyumba yangu, ambayo bado sijaezeka, ina vyumba viwili (Kimoja ni master), pamoja na sebule, Saizi ya kiwanja ni 20M kwa 20M, Nyumba iko Ituha-Mbeya, karibu kabisa na shule ya Jifunzeni High school -Kwa wenyeji wa mbeya, ukiwa unatokea mjini mbeya kuja Nane nane stend, au...
  5. kilimomaarifa.tajiri

    Car4Sale Nauza haya magari bila udalali

    RAV4 OLD MODEL, INATAKIWA HARAKA SANA , IWE KWENYE HALI NZURI, IWE MANUAL, NO B NAKUENDELEA, MILANGO 5, KM ZISIZIDI 120,000, BEI MILIONI 6-7,, Simu/WhatsApp 0744302645
  6. kilimomaarifa.tajiri

    OSIRAK: Mungu wa wafu mikononi mwa Makomando wa Israel

    Habibu B. Anga Hongera kwa kazi nzuri mkuu Kwa heshima yako Kiongozi, naomba niweke link hii ya hii operation, ili kwa wale wanaopenda kuifuatilia wafanye hivyo ASANTE SANA
  7. kilimomaarifa.tajiri

    Kilimo cha Parachichi - Fahamu Aina, Namna ya Kulima na Masoko

    Chachu Ombara Kiongozi heshima yako Nakupa tu taarifa kwamba, siku nyingine unapokopi material toka sehemu moja si mbaya uka aknowledge source Hii umekopa partlly toka katika hii blog yangu..KILIMO MAARIFA: KILIMO CHA PARACHICHI (AVOCADO), na content hizo hizo zilikuwa katika uzi wangu mama...
  8. kilimomaarifa.tajiri

    Jifunze kilimo cha nyanya

    sawa mkuu, hongera sana Nilipata hizo dawa mkuu na nilishapuliza sasa nafuatilia maendeleo ya mazao. Asante sana kwa ushauri Cc. the horticulturist
  9. kilimomaarifa.tajiri

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Tafuta pia Kinatishi sumu ( Aqua wet,aquat sticker) utakachomix na hizo dawa,ili kusaidia zisiondolewe na mvua mapema,na kusaidia kuingia ndani kwa haraka. Ukipiga dawa ndani ya masaa 3 mvua ikinyesha basi dawa yoote imeondoka. QUOTE="kijani11, post: 25284510, member: 201241"]Yah unyevu upo...
  10. kilimomaarifa.tajiri

    Jifunze kilimo cha nyanya

    Mkuu polesana, Hiyo ni Bacteria Leaf spot, kuisimamisha isienee zaidi check Active Ingredient inaitwa Mono- Di Potassium Phosate ( Agrifos 400- Jina LA kibiashara), tumia Cppper na Booster ( Omex au PotPhos) kuipa nguvu mimea ambayo haijashambuliwa. Huenda kuna unyevu mwingi eneo lako La shamba...
  11. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Umejaribu kutafuta dawa ya wadudu (Jina la kibiashara=karate) ukamix na nyingine (Jina la kibiashara=Match) umespray imeshindikana mkuu??
  12. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Junior Nicky Kiongozi salamu, nimepata ujumbe wako Unaweza fanya kilimo hicho Kama unategemea mvua basi fanya kabla ya mvua kuanza na kabla ya mvua kuisha Kama utapenda kutumia njia za kumwagilia (Kuweka drip line) unaweza kufanya wakati wowote wa kiazi, endapo utakuwa na kisima au maji ya...
  13. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Kajirutaluka POLE SANA MKUU HIYO HUITWA BAKA JANI WAHI (EARLY BLIGHT) DAWA ZINGINE UNAZOWEZA KUTUMIA, KUTIBU UKUNGU/FANGASI, NI MULTI POWER PLUS 78WP, NATIVO, NA OTHELLO (AZOXTROBIN 250g/L) KWA SASA NG'OA HIYO MIMEA, NA TIBU UDONGO, NA PANDA MIMEA JAMII YA GALLIC (VITUNGUU) , RUDIA TENA...
  14. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    tzhello POLESANA (NIMEKUJIBU KULE INBOX), LAKINI KWA FAIDA YA WENGINE TAFUTA DAWA ZA WADUDU HIZI,1. KARATE MIX NA 2. DIMETHOATE (DUME), MIX KWA KIPIMO CHA MILS 10 KILA MOJA KWA MAJI LITA 15, KISHA SPRAY ASUBUHI AU JIONI, ILA NAWE UWE NA PPE MAANA DAWA HIZO NI KALI SANA ZIKIKUINGIA...
  15. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Huenda udongo ni kichanga sana, na maji hupotea haraka Pia yaweza kuwa ni wadudu hasa white flies, hao huleta virusi vya majani vinavyosababisha majani kujikunja kwenda juu PIGA BOOSTER NDANI MIX NA DIMETHOATE TENA PIGA JUU NA NYUMA YA MAJANI, RUDIA KILA BAADA YA SIKU 14, CHINI ZUNGUSHIA...
  16. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    hiyo ardhi haitakufaa mkuu kwa kilimo cha mipapai MIPAPAI ikiwa michanga itakufa sana kwa sababu ya kukakamaa kwa udongo-Soil compaction, mizizi haitakua vizuri
  17. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Hiyo ni Bakteria wilt Mkuu Tafuta uzi wake humu, nilikwisha ueleza na namna ya kujikinga/kupunguza maambukizi Bad enough udongo wako ni kichanga, na huo ugonjwa hupiga sana katika maeneo hayo. NDIO MNYAUKO PEKEE AMBAO MIMEA HAIPUKUTUSHI MAJANI
  18. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Wakati wa mvua nyingi tumia Eden F1, au Shanty F1, au Milele F1 au Bingwa F1. Kwa eka 1 unahitaji miche 11,000, mmea unatoa kilo 1-5/wiki3-wiki 8 za mavuno, hii ni kutegemea na matunzo yako (Mbolea, Madawa, udhibiti wa wadudu)
  19. kilimomaarifa.tajiri

    Je, unataka kulima mazao ya mbogamboga na matunda lakini unakosa maarifa sahihi? Karibu tushauriane

    Eden gram 50-60 inatosha kwa eka 1, andaa kati ya laki 3- 450,000 Hiyo Yara Nitrabor unaweza itumia wakati wa mimea ikiwa na matunda COZ INA POTASSIUM (K) nyingi
Back
Top Bottom