Wanajamvi, kwa habari au tetesi nilizopata kama lisaa limoja lililopita ni kwamba General Tyre kesho inapigwa mnada na EL atanunua kupitia watu wake.
Je, kama ni kweli kuna umuhimu wa kufanya hivyo? Kwa nini tusipinge na badala yake Serikali ikifufue kiwanda pekee kama kile?
Naomba kuwasilisha.
Wana jamvi niko safarini kuelekea Mwanza lakini ninachokiona kwa matrafiki wetu kwanza ni usumbufu pili ni wizi au rushwa ya wazi. Tangu kutoka Arusha mpaka Babati tumeweza kusimamishwa zaidi ya mara 10. Majengo, Arusha AirPORT, KISONGO, DUKA BOVU, MTI MMOJA, MAKUYUNI, MINJINGU, MBUYU WA...
Wakuu wa salaam aleikhum. Nikisubiria mchezo wa Zambia na Ivory coast king'amuzi kimekata KBCpekee. Niangalie chanel gani? I have the star times and free to air receiver. Hapa nimepata presha. Aide moi jamani.
Nimeangalia taarifa ya habari ya saa mbili usiku na nimemshuhudia bwana NAPE akisema atashughulika na wanaoanza kujipanga kwa urais wa 2015 sasa. Amesema wanapoteza muda na kawaasa waache kufanya hivyo. Ni wapiga campaign na wale wanaopigiwa. Katumia lugha ya kigeni hapoWanaokubali kuwekewa...
Nduguzanguni, nilikuwa na kiziara uchwala huko HANDENI, SIMANJIRO, SAME , MWANGA pia KARATU. Kwa kweli nimeshangaa sana kuona huko mgao haupo na kama kuna tatizo la umeme basi ni la kawaida tu na si kama hapa kwetu ARUSHA. Swali langu ni kwa wenzangu wenye uelewa mpana kidogo juu ya mambo haya...
ndugu zangu wana JF, nilitoka DAR ES SALAAM wiki mbili zilizopita na nikajaza petrol pale kituo cha mafuta cha RUVU sikumbuki jina lake lakini kiko mkono wa kushoto kama unakwenda CHALINZE. NIKAJAZA LITA 43 NA NILIPOTOKA KAMA KILOMETER 10 GARI LIKAANZA MISS. NIKAENDESHA NA MISS ZAKE HADI ARUSHA...
Wakuu, natamani ku bid gari la mwaka 2004 ambalo ni la ubalozi. Ni TOYOTA LANDCRUISER, SUBARU FORESTER. Nikibid kwa mfano M4 kwa kila moja au mojawapo wa hayo hapo juu, ushuru unaweza kuwa kiasi gani? Natanguliza shukrani zenu. yameingia nchini mwaka huo wa 2004. naogopa kuingia kichwakichwa TRA...
Mungu nisamehe mie. Mchangiaji wa mwisho kwenye maada iliyokuwa inaendeshwa na STAR TV kwa kujitambulisha kwa jina la MJUNI GEORGE NA HUKU SAUTI YAKE NI KAMA ILE YA PIUS MSEKWA hapa nimekoma. Ninamshauri pia atambue hao wanaopiga simu ndo wanamchi wenyewe na haingewezekana wote kupata nafasi ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.