Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,956
Mungu nisamehe mie. Mchangiaji wa mwisho kwenye maada iliyokuwa inaendeshwa na STAR TV kwa kujitambulisha kwa jina la MJUNI GEORGE NA HUKU SAUTI YAKE NI KAMA ILE YA PIUS MSEKWA hapa nimekoma. Ninamshauri pia atambue hao wanaopiga simu ndo wanamchi wenyewe na haingewezekana wote kupata nafasi ya kupiga simu kwa wakati mmoja. THANKS YAHAYA KWA KUSHTUKIA HILO PIA JAPO BUSARA ZIMEKUTANGULIA NA UKAUCHUNA.