Taasisi ya kuzuiya Rushwa ya Tanzania
ilianzishwa mnamo tar. 15 Januari ya mwaka wa
1975 , kwa ajili ya kuzuiya rushwa. Taasisi ya
Kuzuia Rushwa (TAKURU) ni taasisi ya serikali
iliyopewa jukumu la kupambana na rushwa. Ni
idara inayojitegemea ambayo ipo chini ya Ofisi
ya Rais. Makao Makuu ya...
Nashangaa sana watu wanajitokeza hadharani na kusema eti wanacho cheti cha MTU Fulani na alipata o ivi kweli inaingia akilini baraza LA mitahani kutoa Cheri cha division zero tangu lini?au bila aibu unautangazia umma eti cheti unacho wewe kama nani?
Habari zenu wana Jf poleni na majukumu ya hapa na pale katika kutafuta ridhiki na changamoto za hapa na pale hasa muwapo katika utafutaji.Nawaombea kwa MUNGU azidi kuwafanyia wepesi na afya njema.Ndugu zanguni naombeni kujua kuhusu James J. Rowley Training Centre kwa undani zaidi ,mwenye...
"umasikini umegawanyika sehemu mbili,yaani umasikini wa mawazo na pesa.Ndani ya umasikini wa elimu kuna umasikini wa mawazo.
Hakuna umasikini mbaya kama umasikini wa mawazo kwa maana kwamba, hakuna kitu kibaya kama kuikabidhi akili yako kwa mtu mwingine(mhisani wa kimasomo binafsi)huku...
Kweli Leo nimeamini kuwa unapofanya jambo sio kila mtu anapenda nawashanga baadhi ya viongozi wa vyama hasa upinzani kubeza kila kitu ambacho kinafanywa na utawala wa awamu ya tano.
Wao kila kitu wanaponda tu hata siku moja sijawahi sikia wakisifia zuri hata moja, mfano kipindi cha JK...
Hivi suala la mtu kujinasibu kwa ujana ni suala la umri pekee. Kwamba mimi nina miaka 25 basi miaka hii ni kigezo tosha cha kuwa kijana. Ujana sio umri tu bali ni zaidi ya umri. Mimi nimekuwa nikijiuliza je, kwa mazingira yetu (Tz) vijana ni akina nani? Je, ni wale wanaojitahidi kufikiri kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.