Magufuli nadhani unatambua chanzo kikubwa cha ufisadi na wanasiasa kuwa wafanya biashara nadhani na naamini mabadiliko ya kweli Kama kweli unania nayo hanabudi kunadi kurudisha azimio la arusha na chaku shangaza hata cc tunaoamini katika mabadiliko azimio limewekwa pembeni kwahiyo tutaendelea na...
kijana umenifurahisha sana kwahiyo kwakuwa chadema wanakula ruzuku zao ndiyo ukipe uhalali ccm ya kuendelea kuzuiya viwanja vya umma, CCM tunaomba viwanja vyetu ni mali yetu vilijengwa na watanzania warudishieni
Hili jambo kila siku linazungumziwa hila hatujui kwamba viongozi wapo siriusi kiasi gani katika hili sote tunajua kwamba CCM wamejimilikisha viwanja vya michezo vya umma sasa basi umoja wa katiba ya wananchi(UKAWA) kuweka katika ilani yenu kwamba viwanja vyote vitarudi mikononi mwa serikali kama...
Kuna mambo ambayo hayatakiwi kufungiwa macho hasa hili walilotufanyia chadema Kibaha mjini katika hali ya kushangaza katika kura za maoni aliyeshinda kuwania ubunge si mkazi wa Kibaha sasa hapo ndo unaona ujinga wa waliopiga kura kuwa kwa kutufanya ss wajinga siku zote anayeyajua shinda za...
Kuna mambo ambayo hayatakiwi kufungiwa macho hasa hili walilotufanyia chadema Kibaha mjini katika hali ya kushangaza katika kura za maoni aliyeshinda kuwania ubunge si mkazi wa Kibaha sasa hapo ndo unaona ujinga wa waliopiga kura kuwa kwa kutufanya ss wajinga siku zote anayeyajua shinda za...
SACCOSS IMEKUWA SASA TUJISIFU KWA HILO ILA HUYU AACHE UROHO ATUACHIE NA SISI
1992-1998. M/ kiti Edwin Mtei
1988-2003. M/kiti Bob Makani
2003-2008. Mkiti Freeman Mbowe
2009-2014. M/ kiti Freeman Mbowe
2014-2019. M/ kiti Freeman Mbowe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.