MENGELENI KWETU
JF-Expert Member
- May 8, 2013
- 9,550
- 24,157
Habari kama hii huwa hata sihitaji source, Mbowe ni jembe.. full stop.
Shirika la kutetea haki za binadamu la human right watch limemtaja kiongoz wa upinzan Mh Freeman Mbowe kuwa ni mwenyekiti wa kwanza Africa wa chama asiyepokea mshahara ndan ya chama chake na pia ametajwa kuwa ni kiongozi aliyeleta mageuzi makubwa ya kisiasa Tanzania na anayeendesha shughuli za kisiasa pasipo kuvunja haki za binadamu.
Chanzo: CNN
Illa saccoss inaendelea vizuri watukumbuke ktk uongozi ss wa kusini
ndugu ma ceo wengi wanaotuburuza hata darasa hawalijui
Nimecheka sanaaaa...Ngoja nione huu mtanange wa Ufipa Vs Lumumba utaishaje .