Hili jambo kila siku linazungumziwa hila hatujui kwamba viongozi wapo siriusi kiasi gani katika hili sote tunajua kwamba CCM wamejimilikisha viwanja vya michezo vya umma sasa basi umoja wa katiba ya wananchi(UKAWA) kuweka katika ilani yenu kwamba viwanja vyote vitarudi mikononi mwa serikali kama hili litakuwepo kwenye ilani hata CCM wakiiba kura ntakuwa teyari kuingia mtaani kupambania kura zetu.
Lapilli tunataka ahadi zinazo tekelezeka na zinazomgusa kila mtanzania kama kuzuiya mfumuko wa bei na kushusha bei either kwa lazima au kwa marithiano ili kila mtanzania afurahiye kuwa mtanzania tuna sema Tanzania bila mfumuko wa bei inawezekana na Tanzania bila ya bajeti ya kutegemea walevi inawezekana
UKAWA TUPO PAMOJA CHAMSINGI NI KUKAZA BUTI NA TUSIJIBISHANA NA CCM YA NAPE HAINA JIPYA WANATAFUTA HEADLINE NOW .NAONA WANAJITEKENYA WENYEWE KISHA WANACHEKA .KAMA VIPI TUKUTANE OCTOBER.
Lapilli tunataka ahadi zinazo tekelezeka na zinazomgusa kila mtanzania kama kuzuiya mfumuko wa bei na kushusha bei either kwa lazima au kwa marithiano ili kila mtanzania afurahiye kuwa mtanzania tuna sema Tanzania bila mfumuko wa bei inawezekana na Tanzania bila ya bajeti ya kutegemea walevi inawezekana
UKAWA TUPO PAMOJA CHAMSINGI NI KUKAZA BUTI NA TUSIJIBISHANA NA CCM YA NAPE HAINA JIPYA WANATAFUTA HEADLINE NOW .NAONA WANAJITEKENYA WENYEWE KISHA WANACHEKA .KAMA VIPI TUKUTANE OCTOBER.