Sasa huyo mtu wenu wa kibaha kawasaidia nini? Inawezekana wananchi wa kibaha wamevutiwa na sera za huyo jamaa,Chagua sera za mtu na usiangalie sura....Sifa moja ni kuwa mtanzania na si kuwa mzaliwa wa ilo eneo.
Kiongozi bora ni yule anayeshirikisha wananchi katika kupanga, kusimamia na kutekeleza mipango ya maendeleo. Huko ndiko matatizo na vipaumbele vya maeneo husika vitatambuliwa na kuwekewa mikakati.
Watu wamezoea kuchagua watu wanao ahidi majukwaani.
Tubadilike, kiongozi si lazima awe amekaa nanyi muda mrefu. Muhimu ni awe kiongozi bora.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.