Kwahili CHADEMA Kibaha mmetuzingua na mtaangukia pua

jorojo

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
1,642
11
Kuna mambo ambayo hayatakiwi kufungiwa macho hasa hili walilotufanyia chadema Kibaha mjini katika hali ya kushangaza katika kura za maoni aliyeshinda kuwania ubunge si mkazi wa Kibaha sasa hapo ndo unaona ujinga wa waliopiga kura kuwa kwa kutufanya ss wajinga……………siku zote anayeyajua shinda za Kibaha ni mtu aliyezaliwa Kibaha ama kuishi Kibaha siyo mmnatuletea mtu anayeijua Kibaha naanaijuwa kibaha kwenye magazeti ni mara mia tubaki na boga letu hili ambalo ni bubu kule mjengoni kuliko kutuletea mtu ambaye si mkazi wa hapa kibaha……najua mtahisi ni ubaguzi ila hili ni jambo la msingi sana mbunge awe mkazi wa jimbo lake na si ahamie Kibaha kisa anataka kuwa mmbuge, tunataka mmbuge anayejuwa shida zetu za Kibaha ndo zimsukume kuwania ubunge na si vinginevyo.
Na ninyi wanachadema mliomchagua huyu mtu mliangalia vigezo gani mbona mnatuziguwa ss hatuitaki ccm ila mnatufosi tuichague katika hali kama hii hata kama ni mnazi, au kada maarufu mtamchaguwa mtu kama huyu tunawapenda sana ila katika hili kura hatuta wapa.
Sina haja ya kuharibu ila nia yangu ni kuelimisha pale tunapohisi kuna makosa ya msingi kama haya Mungu wabariki wanaotaka kubarikiwa.
 
Kuna mambo ambayo hayatakiwi kufungiwa macho hasa hili walilotufanyia chadema Kibaha mjini katika hali ya kushangaza katika kura za maoni aliyeshinda kuwania ubunge si mkazi wa Kibaha sasa hapo ndo unaona ujinga wa waliopiga kura kuwa kwa kutufanya ss wajinga……………siku zote anayeyajua shinda za Kibaha ni mtu aliyezaliwa Kibaha ama kuishi Kibaha siyo mmnatuletea mtu anayeijua Kibaha naanaijuwa kibaha kwenye magazeti ni mara mia tubaki na boga letu hili ambalo ni bubu kule mjengoni kuliko kutuletea mtu ambaye si mkazi wa hapa kibaha……najua mtahisi ni ubaguzi ila hili ni jambo la msingi sana mbunge awe mkazi wa jimbo lake na si ahamie Kibaha kisa anataka kuwa mmbuge, tunataka mmbuge anayejuwa shida zetu za Kibaha ndo zimsukume kuwania ubunge na si vinginevyo.

Na ninyi wanachadema mliomchagua huyu mtu mliangalia vigezo gani mbona mnatuziguwa ss hatuitaki ccm ila mnatufosi tuichague katika hali kama hii hata kama ni mnazi, au kada maarufu mtamchaguwa mtu kama huyu tunawapenda sana ila katika hili kura hatuta wapa.
Sina haja ya kuharibu ila nia yangu ni kuelimisha pale tunapohisi kuna makosa ya msingi kama haya Mungu wabariki wanaotaka kubarikiwa.
 
Acha maamuzi ya hasira, ndio maana ya watu kupiga kura (majority win). Pole sana.. Kama hukubaliani na matokeo ya kura njoo CCM.
 
Kuna mambo ambayo hayatakiwi kufungiwa macho hasa hili walilotufanyia chadema Kibaha mjini katika hali ya kushangaza katika kura za maoni aliyeshinda kuwania ubunge si mkazi wa Kibaha sasa hapo ndo unaona ujinga wa waliopiga kura kuwa kwa kutufanya ss wajinga……………siku zote anayeyajua shinda za Kibaha ni mtu aliyezaliwa Kibaha ama kuishi Kibaha siyo mmnatuletea mtu anayeijua Kibaha naanaijuwa kibaha kwenye magazeti ni mara mia tubaki na boga letu hili ambalo ni bubu kule mjengoni kuliko kutuletea mtu ambaye si mkazi wa hapa kibaha……najua mtahisi ni ubaguzi ila hili ni jambo la msingi sana mbunge awe mkazi wa jimbo lake na si ahamie Kibaha kisa anataka kuwa mmbuge, tunataka mmbuge anayejuwa shida zetu za Kibaha ndo zimsukume kuwania ubunge na si vinginevyo.

Na ninyi wanachadema mliomchagua huyu mtu mliangalia vigezo gani mbona mnatuziguwa ss hatuitaki ccm ila mnatufosi tuichague katika hali kama hii hata kama ni mnazi, au kada maarufu mtamchaguwa mtu kama huyu tunawapenda sana ila katika hili kura hatuta wapa.
Sina haja ya kuharibu ila nia yangu ni kuelimisha pale tunapohisi kuna makosa ya msingi kama haya Mungu wabariki wanaotaka kubarikiwa.

Tena nakisia ni mchagga!
 
si nyie wenyewe mmemchaguaa, unalalamika nini...
afu mbona wazungumzia watu na sio wewe
 
....acha mihemko ya ki ccm leta hoja ujibiwe kwa hoja umeweka pepelepepele nyingiii hata hamna facts...
 
Sasa kwanini hamumtaki mbona Joseph Haule kachaguliwa Moro ni kwao kule???? Acheni zenu bhana bongo ni moja kama ni material basi mpeni nafasi
 
Kuna mambo ambayo hayatakiwi kufungiwa macho hasa hili walilotufanyia chadema Kibaha mjini katika hali ya kushangaza katika kura za maoni aliyeshinda kuwania ubunge si mkazi wa Kibaha sasa hapo ndo unaona ujinga wa waliopiga kura kuwa kwa kutufanya ss wajinga……………siku zote anayeyajua shinda za Kibaha ni mtu aliyezaliwa Kibaha ama kuishi Kibaha siyo mmnatuletea mtu anayeijua Kibaha naanaijuwa kibaha kwenye magazeti ni mara mia tubaki na boga letu hili ambalo ni bubu kule mjengoni kuliko kutuletea mtu ambaye si mkazi wa hapa kibaha……najua mtahisi ni ubaguzi ila hili ni jambo la msingi sana mbunge awe mkazi wa jimbo lake na si ahamie Kibaha kisa anataka kuwa mmbuge, tunataka mmbuge anayejuwa shida zetu za Kibaha ndo zimsukume kuwania ubunge na si vinginevyo.

Na ninyi wanachadema mliomchagua huyu mtu mliangalia vigezo gani mbona mnatuziguwa ss hatuitaki ccm ila mnatufosi tuichague katika hali kama hii hata kama ni mnazi, au kada maarufu mtamchaguwa mtu kama huyu tunawapenda sana ila katika hili kura hatuta wapa.
Sina haja ya kuharibu ila nia yangu ni kuelimisha pale tunapohisi kuna makosa ya msingi kama haya Mungu wabariki wanaotaka kubarikiwa.

Kwan PWANI nako wanaujua upnzan bhasi... ....endeleen na boga lenu
 
Kwani kajichagua au mmemchagua???? Ungewaambia wapiga kura wenzio wasimchague we utakuwa humpendi ila wenzio wanampenda
 
Back
Top Bottom