Magufuli anakubalika na watu wote, hata wale waliokuwa wanaichukia CCM hivi sasa wanaikubali baada ya kufanya maamuzi magumu ya kumkataa fisadi nguli nchini na kumuweka mtu muadilifu na mchapakazi. Dr Magufuli amekuwa kivutio kwa watu wote na amebeba matumaini makubwa ya Watanzania
Lowassa Kwisha habari yake.
Ndugu watanzania, tutumie nafasi hii inayokuja mara moja katika miaka 5 kutokomeza ufisadi. Hii ni nafasi muhimu sana. Tusipoitumia vizuri ndio unaweza kuwa mwisho wa hata hiki tulicho nacho - ambacho si haba.
Katika nafasi ya urais tumchague Dr Magufuli kwani ni msafi kuliko mpinzan wake mkuu Lowassa. Uadilifu ni suala la muhimu sana.
Tusitegemee hata siku moja mtu ambaye ana historia ya ufisadi katika utumishi wake wa miaka mingi ageuke ghafla uzeeni au katika umri mkubwa na kuwa mwadilifu. Mbwa mzee hafundishwi mbinu mpya. Atabaki vile vile.
Na mtu ambaye sio mwadilifu hawezi pambana na ufisadi. Hawezi kuwa anaiba peke yake na kuwazuia wengine wasiibe.
Kwamfano, Mobutu akiwa anapiga ufisadi Zaire aliwahi kuwaambia wasaidizi wake kuwa kama ni kuiba waibe kidogo kidogo sio kwa mkupuo.
Fisadi hafisidi peke yake.
Chukua hatua. Ipende Tanzania. Chagua Magufuli
Magufuli nadhani unatambua chanzo kikubwa cha ufisadi na wanasiasa kuwa wafanya biashara nadhani na naamini mabadiliko ya kweli Kama kweli unania nayo hanabudi kunadi kurudisha azimio la arusha na chaku shangaza hata cc tunaoamini katika mabadiliko azimio limewekwa pembeni kwahiyo tutaendelea na mfumo unaozalisha mafisadi.........Mwisho ni ushauri wangu wa kweli mabadiliko yakweli ya kimfumo na kiutendaji ni kulirudisha azimio la arushaHakuna mabadiliko ya kweli bila ya kurudishwa kwa azimio la Arusha....
Magufuli nadhani unatambua chanzo kikubwa cha ufisadi na wanasiasa kuwa wafanya biashara nadhani na naamini mabadiliko ya kweli Kama kweli unania nayo hanabudi kunadi kurudisha azimio la arusha na chaku shangaza hata cc tunaoamini katika mabadiliko azimio limewekwa pembeni kwahiyo tutaendelea na mfumo unaozalisha mafisadi.........Mwisho ni ushauri wangu wa kweli mabadiliko yakweli ya kimfumo na kiutendaji ni kulirudisha azimio la arushaHakuna mabadiliko ya kweli bila ya kurudishwa kwa azimio la Arusha..
Hawezi kufanya lolote hizo ni kilele za kwenye majukwaa tu.
hiyo nafasi ya kugombea urais kapewa na hao mafisadi....ataanzia wapi?
kina Ridh1 wanazindua huduma za kampuni ya Viatel 15/10/2015 wakati mwanzoni watanzania tulidanganywa kuwa ni wawekezaji ...KUMBE NI INVESTMENT YA BABA NA MWANA!
WATANZANIA TUAMKE!
NCHI IMEKUWA MALI YA FAMILIA YA JK?
DAWA NI KUIONDOA CCM MADARAKANI TU!
BURIHANI BABA WA TAIFA!