kama chakwako na baba yako.........chama cha wasaliti
kama chakwako na baba yako.........chama cha wasaliti
Maji maji au mayi mayi maana hawa jamaa huku drc mhhh
wewe kweli hujatulia na utaishia kujiconfuse ata kuwa mwehu, mda mfupi tu ulikuwa ukishambulia lowasa, apa tena unampamba zito, hujui kuwa mfadhili wa zitto ni edward lowasa?? miafrika bhana ya aina hii ndivyo yalivyo...
hiki chama cha kishenzi sana, ni sawa kile cha nazi chini ya hitler, kina sera za fascism, kinatangaza ujamaa mbuzi bila aibu huku viongozi wake wakimiliki hammers na mahekalu.
karne 21 sio 19;
miundo mbinu lami; magari; ac; computer; mobile phone.
Mkuu wanywa kahawa wamewakosea nini tena Chadema kwa hiyo Chadema hamtaki kura za wanywa kahawa?Hiki chama ni sawa na genge la wanywa kahawa,
Kamanda vipi ule uzi wako wa ACT-Wazalendo uliofungua umekuchosha?Hiki chama cha kishenzi sana, ni sawa kile cha Nazi chini ya Hitler, kina sera za fascism, kinatangaza ujamaa mbuzi bila aibu huku viongozi wake wakimiliki hammers na mahekalu.
Kamanda bora yako wewe umeamua kujifariji.Pesa za ziara wanapewa na nani?
hiki chama kimeshakaribia kusahaulika kabisa.
Baada ya operation ya kwanza kuanzia Iringa - Butiama
Chama cha ACT wazalendo kinakuja na operation majimaji na hii majimaji ni kuenzi vita ya majimaji.
Tulivyopingana na ukoloni.
Hii ni kuondoa mawazo ya kikoloni kwa vyama vya siasa na kurudi katika siasa yetu ya ujamaa na kujitemegea;
Pia wenye nia na ubunge , uraisi na udiwani - mwongozo ushakamilika
Pokeeni ujio mpya wa operation majimaji
ACT-wazalendo
ujima wa 21 karne
Bavicha bana majimbo 59 ni ziara tu, majimbo yote watasimisha wagombea tulizana dawa ikuingie.Naona mumeamua kuwekeza majimbo 59 tu kati ya majimbo 200 na! Kwisha habari yenu.
Bavicha bana majimbo 59 ni ziara tu, majimbo yote watasimisha wagombea tulizana dawa ikuingie.
saccos ya ukoo wa mbowe na mtei
CHADEMA wakisikia hivi matumbo yanapata moto.