Tafadhali soma kwa umakini taarifa na mahitaji muhimu ya kuhama kabla hujaanza kufanya maombi ya uhamisho.
Tarehe ya mwisho ya kuomba uhamisho ni 30-04-2022.
Masharti na Sifa kwa Waombaji, Taarifa kwa Waombaji:
1. Mwanafunzi anashauriwa kuhakiki na kufahamu taarifa za msingi za chuo...
Habarini ndugu,
Tunauza dagaa watamu wa nyasa.
Kilo sh.6500.
Ni dagaa wasio na mchanga na wasio na uchachu.
Tupo Mtwara mjini na tunatuma popote ulipo.
Karibuni sana.
Kwa mawasiliano.
Piga au tuma ujumbe (na whatsapp)
0758 211 194.
Karibuni wakuu.
Habarini wana Jf.
Naomba msaada kwa anayejua namna ya kuhifadhi vitunguu.Nahitaji kuhifadhi peto kama 10 hivi kwa muda wa miezi miwili hadi mitatu hivi.
Natanguliza Shukrani.
BABA ANASAHAU.
(Kwa wazazi,walezi na kila mmoja)
Sikiliza,mwanangu.
Nasema hili ukiwa umelala,mkono wako ukiwa umekunja na kuuweka chini ya shavu lako na nywele zako zenye unyevu,za kahawia zikiwa zimenasa katika paji la uso wako.
Nimeingia kwenye chumba chako kwa siri,peke yangu.Dakika chache...
Natumia tecno J5,mwanzo ilikua iina'connect' internet vizuri,lakini baadae ikaanza kusumbua na kuanza kutoconnect internet vizuri,yaani inaconnect Edge tu.Pia sio internet tu,Bali hata mtandao wa kawaida,Mara inaswitch off sim card,Mara inaswitch on..nimejaribu kurekebisha settings kwa kila...
Habarini wakuu...,
Ni wapi naweza kupata mashine ndogo ya kutoa copy(photocopier) kwa bei nafuu??
Hiyo mashine iwe;
*Inatoa copy pande mbili
*Inafanya kazi kwa haraka
*Isiwe na scanner.(kwa sababu zenye scanner ni ghali zaidi) na
*Imara
Nisaidieni wakuu....
Copied and Pasted
[17:04, 02/02/2015] Lily .CPA: Niliolewa na mwanaume mpole sanaaaaaa miaka mitano iliyopita, yani nikisema mpole ni mpole mno, hakunifatilia hata sikumoja, hakuniuliza nini wala nini, alinpa uhuru wa kutosha, nikiaga naenda mahali anasema nenda, hata kama narudi saa nane usuku...
Habarin Wakuu...
naomba kuuliza kama kuna chuo cha Clinical Officer mkoani Mbeya au Iringa(mjin)...Binafsi nimeulizia nimeshindwa kupata jibu.Nishaapply vyuo vtatu vya serikali mtandaoni,lakin idad ya waombaji ni kubwa na ninapata waswas wa kuchaguliwa...Naomben msaada wenu..
Ahsanten na kaz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.