Na Mwandishi wetu
Serikali kupitia Wizara ya Maji imeikabidhi Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) mradi wa kusambaza maji kwa wakazi wa Wilaya ya Mwanga Same na Korogwe kwa ajili ya kuuendesha.
Serikali imefikia uamuzi wa kukabidhi mradi huo wa maji wenye jumla ya...
Fahamu mawasiliano rasmi ya Mikoa ya kihuduma Dawasa itakayosaidia urahisi wa kupokea na kushughulikia changamoto za huduma ya Maji kwa Jiji la Dar es salaam na Pwani.
Sent using Jamii Forums mobile app
TAARIFA KWA UMMA
KUZIMWA KWA MTAMBO WA UZALISHAJI MAJI WA RUVU JUU
17/06/2019
Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es salaam (DAWASA), inasikitika kuwatangazia wateja wake wanaopata maji kutoka mtambo wa Ruvu Juu kuwa, uzalishaji maji katika mtambo huo umesitishwa kwa muda hivyo kupelekea...
SHIRIKA la Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO), limesema linatarajia kuokoa takriban Sh. Milioni 200 kila mwezi, kufuatia kuanza kutumia mfumo mpya wa kielektroniki wa malipo serikalini (GePG).
Mfumo huo umetajwa kulinufaisha shirika hilo kwa sabanu utaondoa ulipaji wa tozo za...
KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA MAJI KWA WANANCHI KIBAHA, KIMARA & TABATA
UBORESHAJI WA MTAMBO WA UZALISHAJI MAJI WA RUVU JUU
Shirika la MajiSafi na Majitaka Dar-es-salaam (DAWASCO), inawatangazia wateja wake wote wa jiji la Dar es salaam, pamoja na Mji wa Kibaha Mkoani Pwani kuwa kutakuwa na ukosefu...
Leo kuna mkutano wa Shirika la MajiSafi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) na waandishi wa habari na unafanyika hapa Gerezani makao makuu ya DAWASCO. Ni kuhusu Application ya DAWASCO
APPLICATION MPYA YA DAWASCO KATIKA SIMU YAKO
Ni mfumo mpya wa mawasiliano katika simu ya Mkononi...
Shirika la majisafi na Majitaka Dar es salaam (Dawasco) limedhamiria kuwafikisha Mahakamani wadaiwa sugu wa Ankara za Maji hususani waliolimbikiza madeni ya nyuma kuanzia kipindi cha mwezi mmoja na kuendelea.
Taarifa iliyotolewa na shirika hilo hivi karibuni imesema kuwa hatua hiyo imefikiwa...
Ndugu wana JamiiForums,
Tunashukuru kwa maoni yenu mliyoweka hapa juu ya huduma mnazo pata kwenye matawi yetu yaliyo Jijini Dar es salaam , miji ya Kibaha na Bagamoyo Mkoani pwani. DAWASCO inapokea maoni na malalamiko yenu na tuna wahakikishia kuwa tutachukua hatua stahiki kwa haraka zaidi...
Picha ni Mwananchi Kimara Bonyokwa akiwa wameanza kupata huduma ya Majisafi kwa mkopo toka DAWASCO.
Huduma ya maji kwa mkopo ni kampeni iliyoanzishwa na Dawasco kwa lengo la kuhakikisha kila mwananchi anapata huduma ya Majisafi bila kujali kipato chao
Watu wote wenye uwezo mdogo wa kuunganisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.