Mawasiliano rasmi ya DAWASA

DAWASA

Official Account
Oct 7, 2010
132
79
Fahamu mawasiliano rasmi ya Mikoa ya kihuduma Dawasa itakayosaidia urahisi wa kupokea na kushughulikia changamoto za huduma ya Maji kwa Jiji la Dar es salaam na Pwani.
IMG-20200116-WA0184.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wekeni tenki zenye maji yenye dawa kwenye maeneo ya mikusanyiko kama soko na stand watu wanawe mikono bure,kipindi hiki cha corona.
Wateja wenu wanuru maisha.
 
DAWASA Temeke tumelipia mwezi wa tatu huu unaenda huduma mpaka leo hatujapata, wanasema mita hakuna kweli jama miezi mitatu mita hakuna? hebu tusaidieni
 
Back
Top Bottom