Fahamu mawasiliano rasmi ya Mikoa ya kihuduma Dawasa itakayosaidia urahisi wa kupokea na kushughulikia changamoto za huduma ya Maji kwa Jiji la Dar es salaam na Pwani.
Wekeni tenki zenye maji yenye dawa kwenye maeneo ya mikusanyiko kama soko na stand watu wanawe mikono bure,kipindi hiki cha corona.
Wateja wenu wanuru maisha.
DAWASA Temeke tumelipia mwezi wa tatu huu unaenda huduma mpaka leo hatujapata, wanasema mita hakuna kweli jama miezi mitatu mita hakuna? hebu tusaidieni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.