Habari wapendwa,
Nauza simu yangu aina ya Huawei Y7 Prime
Internal GB 64, Ram GB 4, battery capacity 4,000 MAh.
Bado mpya kabisa
Bei yake ni 290k (laki 2 na 90) pamoja na Charger yake
Kama unahitaji piga simu namba 0676258343.
Mkuu mie natumia Google Pixel 3Xl ,Nimeona kwa baadhi ya simu waki download config wanapata zenye camera features kama hii mpaka 0.6x,1x, 2x. But mie camera features yangu ya simu inaishia tu 1x na 2x hakuna hiyo 0.6x. Vipi kuna namna ya kuipata hii 0.6x?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.