Mhe.Lowassa kwa barua yangu hii fupi nashauri wewe mwenyewe na sikupitia wapambe uchukue hatua ya kusafisha dhamira ya wengi waliokuita Fisadi ilikuokoa jahazi ya safari ya matumaini kupitia UKAWA. Kuchelewa kwako kuchukua hatua za busara ,za kiungwana au hata za kisanii kuelekea 25.10.2015...
Tunahitaji uwazi kwa spedi ya supersonic. Wafanyakazi wa Ofisi ya Bunge idara ya IT-acheni kuhujumu Nchi. Taarifa na Doc muhimu kama hizi zinapokuwa haifunguki au hakuna kabisa ni kulihujumu Nchi.
Bill no:
2-2014-2
Introduction date:
31...
YALIYOMO KWENYE RASIMU YA TUME YALIYOMO KWENYE RASIMU INAYOPENDEKEZWA
UAMUZI WA KAMATI YA UANDISHI
SURA YA TATU
SURA YA NNE
Sura hii imepangwa upya
MAADILI NA MIIKO YA UONGOZI NA UTUMISHI WA UMMA
MAADILI NA MIIKO YA...
Hatua hii/uamuzi huu kwa mtazamo wangu una walakini kwa kadri stori hii ilivyoandikwa na Raia Mwema kwenye toleo husika.
Naanza kupata wasiwasi kuwa pengine kuna harufu ya matumizi mabaya pesa kufikia uamuzi huu.
Labda wataalamu wa Jf munaweza kusaidia kuongeza uelewa katika jambo hili...
Ewe Mtanzania una maoni gani?
Unadhani Mbunge wako asimamie eneo lipi kwenye Msawada huu?
Mimi kabla sijaingia kwenye mswada wenyewe ni hoja moja kwa Mbunge wangu na wengine kwa ujumla.
Hii kitu kinaitwa Gazette huku mitaani na hata kwenye maduka ya Vitabu ni vigumu kupatikana hivyo Kanuni na...
Nani hapa ndiye mwenye Ofisi/Bosi wa Taasisi?
Hivi kweli mabalozi hawa wanaweza kwenda magereza bila kutoa taarifu Wizara husika ,huku ni kuzalilishana !
Wataalamu wa protokali ebu tupieni maneno/maoni hii picha.
Wadau wa maendeleo na jamii kwa ujumla mnakaribishwa katika uchambuzi wa Mlolongo wa kodi hizi inayoanza rasmi mwaka huu wa Fedha 2013 na itakuwa zoezi la kila mwaka.
Kila halmashauri itakuwa ikikusanya Kodi hii ambayo kimsingi ilikuwa imefutwa awali 2005/2006 kama siajakosea.
Je kupitia Kodi...
Kwa watanganyika wote ni muda muafaka kuanza mchakato wa KATIBA RASMI YA NCHI -REPUBLIC OF TANGANYIKA
Michezo hii ya wanasiasa wanaofaidika kwa Jasho ya Wavuja Jasho wa Tanganyika na kuwabebeshwa mizigo isiyoisha ufike muda na tuutue.
Hoja ya Kwanza Kikao cha Kwanza la Bunge la Tanganyika ni...
Kusema kweli Rasimu ya Katiba mpya ina mapungufu mengi ukiacha kosa la msingi la kuleta serikali Tatu lakini kuna hili ambalo limefichwa ndani ya hizo kurasa 240.Watanganyika na Wazanzibari wanatakiwa kupitia kipengele moja baada ya nyingine.
Tunarudishwa kule kule kupitia mlango wa Nyuma...
Mjadala kama huu ukipita bila watanzania wengi kusikia na kushuhudia moja kwa moja basi hakuna umuhimu wa kuangalia inayoitwa televisheni ya Taifa.
Prof. Shivji kuvaana na mbaya wa Raila...
Ndugu wana JF natumai Pasaka imeisha salama kwa wengi wetu na kwa wale waliopitiwa na Ibilisi mwenyezi Mungu awape nguvu na kushinda matatizo.
Kwa wale wenye kupenda kuona na kufahamu nini kitatokea au kujiri ni vizuri kusoma mpango huu na kujipanga.
Lakini pengine kila mmoja wetu anaweza...
Katika hali isiyo ya kawaida milipuko mizito mitatu imesikika asubuhi hii kati ya saa tatu hadi saa nne huku moshi wa wastani ukionekana nyuma ya kisiwa cha Sinda pwani ya Kigamboni.
Tukio hili linatokea huku hakuna taarifa yoyote toka JWTZ kama kuna mazoezi yoyote yanaendelea pwani ya...
Kwangu mimi Utamaduni huu wa kuweka haki pembeni (Sheria)na kufarijiana kwa pesa hautatufikisha mbali na zaidi utatuletea yanayoendelea Somalia na kwingineko.Na shawishika kuwa bila kuwaona mbele ya Hakimu/mahakama kundi lote la wale askari waliopo sehemu ya tukio ikiwa pamoja na RPC wa...
Wana JF mliokaribu na maeneo hayo mtujuze wamiliki wa machimbo yanayotarajiwa kunufaika na utaratibu huu ,isije tokea kuna mikono ya Vigogo.Kwani uharaka wa jambo hili unaleta walakini katika uamuzi huu wa Kamishna.
Kamishna alitakiwa kuwa tangazia wote wanaochimba Mchanga kwenye maeneo...
Source;NEC Web
1. 1.In discharging its functions in accordance with the provisions of the Constitution, the National Electoral Commission shall not be obliged to comply with orders or directions of any person or any Government department or the views of any political...
In the matter of searching for informations and other interesting staff, I come across with this info in NSSF web page.However the line bolded and highlighted with blue colour make me doubt if this guys are serious with the members money.Nini maoni yako juu ya aina hii ya miradi. Insurance...
Up dates:
Makinda alisema kamati hiyo itafanya kazi kwa kuongozwa na hadidu tano za rejea ambazo ni kuchunguza utaratibu uliobainika wa kukusanya fedha kwa ajili ya kukamilishwa kwa uwasilishaji wa Hotuba za bajeti za wizara bungeni na kwamba, hadidu hiyo ya kwanza itakuwa na vipengele vitatu...
"NDUGU wana CCM:Viongozi wabovu wenye mioyo ya kuku,hulizwa na matatizo;bali watu (viongozi)mathubuti, wenye mioyo thabiti,hukomazwa nayo .........hatima ya Nchi yetu ni jukumu letu.Kwa pamoja tunaweza kuisaidia Nchi yetu kusonga mbele kuelekea kwenye haki zaidi na usawa zaidi kwa Watanzania...
wana Jf. Kwa heshima kubwa naomba msaada kwa yeyote mwenye kuona ,kufahamu kuhusu rasimu ya Mamlaka hii. Mimi ni mdau mwathirika na mradi wa Mji-Mpya wa Kigamboni. Kuna hii habari ya kuundwa kwa mamlaka ya kusimamia huu mradi kama ilivyokuwa CDA(Dodoma) Hivyo wadau waathirika tunafaa...
Hii,tetesi kuwa kamati ya chama imetengua Uamuzi wa Wabunge wake ambao ni wakilishi wetu tuliowapa mamlaka ya kutuwakilisha na kutusemea ni wahatari kubwa na unataka kutuharibia Chama.
Napenda kutoa tahadhari kuwa uamuzi wowote wa kwenda kinyume na maamuzi ya kura za wabunge wa Chama kwa sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.