Kila serikali mpya inapoingia madarakani inakuwa na mtaji wake. Huo ni msemo maarufu wa wataalamu wa sayansi ya siasa na utawala bora kote duniani. Kwamba utawala mpya unapoingia madarakani unapenda kufanya kazi na aina ya viongozi unaowataka iwe kwa kuibua wapya au kuchagua miongoni mwa...
Habari za Usiku huu ndg zangu,
Leo hali yangu siyo nzuri sana kwani naumwa mafua makali yaliyo ambatana na kipanda uso, paji lote la mbele ya Uso linauma sana, nimeshindwa kulala kabisa.
Toka saa nane hadi sasa nipo macho. Mimi huwa naumwa mafua mara kwa mara lakini hii yamezidi sana kwani...
Habari wanajukwaa,
Mimi ni kijana mwenye elimu ya kawaida tu na ni raia mchakalikaji hapa nchini
kuna maswali nakuwa najiuliza nashindwa pata majibu hivi inakuwaje.?
1. Nini kazi ya wizara ya Aridhi,Maafisa aridhi wa Mikoa na wilaya katika taifa letu la Tanzania, maana kwa mtazamo wangu sioni...
UNAPOAMBIWA MWL.JULIUS KAMBARAGE NYERERE NI BABA WA TAIFA LA TANZANIA UWE UNAELEWA.
1.Alizaliwa tarehe 13/04/1922 Butiama na kufariki tarehe 14/10/1999 kule London.Ni Raisi wa kwanza Afrika kuachia madaraka kwa hiari yake mwenyewe.
2.Ni Raisi wa kwanza kuhama Ikulu na kwenda kuishi kwenye...
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite...
Kampuni ya nishati ya BP imeamua kumpunguzia mshahara mkurugenzi wake Mkuu kwa 40%,ambapo alikuwa anapokea us $19,000,000/= kwa mwezi, kutokana na wanahisa wa kampuni hiyo kulalamikia kiwango hicho sababu saiz inapitia katika hali ngumu Ya kuporomoka kwa biashara yao.
Nimejaribu kukokotoa kwa...
Wahusika hapo juu vitambulisho vyao vimeokotwa vipo Serikali ya mtaa wa Wazo,wafike wakachukue na kama mtu anawafahamu awape taarifa hii.
GREGORY F TARIMO
Amejiandikishia shule ya Cambridge Mtaa wa TPDC uliopo kata ya Mikocheni.
SIKUDHANI R MNDUNU
Amejiandikishia shule ya Msingi KUNDUCHI B...
I'd like to share this video.
TB Joshua and Magufuli: THE PROPHET and THE PRESIDENT!
Powered by TubeMate (TubeMate YouTube Downloader 2.2.9 - Official Website)
Aliyemuweka rehani ndugu yake amepandishwa leo mahakamani na kesi itaendelea tena tarehe 17 August. Mtuhumiwa karudishwa rumande...!!
Chanzo:- Azam news
HP yangu laptop elite book840 haisuport lain ya ttcl eti inanidai ussd code oakin voda na tgo natumia vizuri tu..
NB;- hii laptop inasehemu ya kuchomeka lain ya simu kwa ajili ya network....!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.