Paul Makonda alikuwa wapi Mei Mosi kwa mkoa wa Dar?

Mashimba Son

JF-Expert Member
Dec 22, 2014
1,125
1,395
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite Hata watu anaowaongoza hawamtaki wameshindwa Hata kumualika
Inabidi ajitafakari Hata Kama Baba anambeba inabidi tu yeye aombe kujiuzulu ili ofisi achukue mtu mwingine ambaye atapewa ushirikiano na wafanyakazi Wenzake, maana mazingira hayo aliyonayo sasa kazi haziwezi tendeka kwa ufanisi
Angalia taarifa zote za Habari Leo zimetawaliwa na wakuu wa mikoa sijui yeye anajisikiaje Leo....!!
Mwisho nivipongeze vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam kwa maamuzi mliyofanya Leo...!!
 
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite Hata watu anaowaongoza hawamtaki wameshindwa Hata kumualika
Inabidi ajitafakari Hata Kama Baba anambeba inabidi tu yeye aombe kujiuzulu ili ofisi achukue mtu mwingine ambaye atapewa ushirikiano na wafanyakazi Wenzake, maana mazingira hayo aliyonayo sasa kazi haziwezi tendeka kwa ufanisi
Angalia taarifa zote za Habari Leo zimetawaliwa na wakuu wa mikoa sijui yeye anajisikiaje Leo....!!
Mwisho nivipongeze vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam kwa maamuzi mliyofanya Leo...!!
Kwa bashite mnahangaika tu Anaweza akatolewa ukuu wa mkoa akapewa kazi nyingine na maisha yakasonga hiyo wala Haisaidii
 
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite Hata watu anaowaongoza hawamtaki wameshindwa Hata kumualika
Inabidi ajitafakari Hata Kama Baba anambeba inabidi tu yeye aombe kujiuzulu ili ofisi achukue mtu mwingine ambaye atapewa ushirikiano na wafanyakazi Wenzake, maana mazingira hayo aliyonayo sasa kazi haziwezi tendeka kwa ufanisi
Angalia taarifa zote za Habari Leo zimetawaliwa na wakuu wa mikoa sijui yeye anajisikiaje Leo....!!
Mwisho nivipongeze vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam kwa maamuzi mliyofanya Leo...!!
Acheni uchokozi mwacheni Mkuu achape kazi!
 
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite Hata watu anaowaongoza hawamtaki wameshindwa Hata kumualika
Inabidi ajitafakari Hata Kama Baba anambeba inabidi tu yeye aombe kujiuzulu ili ofisi achukue mtu mwingine ambaye atapewa ushirikiano na wafanyakazi Wenzake, maana mazingira hayo aliyonayo sasa kazi haziwezi tendeka kwa ufanisi
Angalia taarifa zote za Habari Leo zimetawaliwa na wakuu wa mikoa sijui yeye anajisikiaje Leo....!!
Mwisho nivipongeze vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam kwa maamuzi mliyofanya Leo...!!
HUYU NI ALBERT EINSTEIN, THE GREATEST SCIENTIST AND LEADER OF ALL TIMES! HIS FINGERPRINTS WILL REMAIN ALL OVER THE HISTORY BOOKS OF THIS COUNTRY
 
Machadema inabidi mjue nyakati zimebadilika na mmove on. Acheni kujazwa ujinga na Mange Kimavi.

Vipi kama Bashite aliomba udhuru! Makonda atakua RC hadi Magu atapotoka madarakani suck it up and keep moving.

Nimecheka Lissu na TLS kusema watamswaga Bashite mahakamani kwa kosa la kuvamia clouds huku clouds wenyewe hawaonyeshi ushirikiano na kosa la jina feki la Makonda Likiachwa sijui kwa nini. CDM mnaendeshwa ka gari bovu heheh
 
Sasa ndugu unafikiri kazi zitaenda kweli..!?
Unajua kuna mambo mengi yanakwama kwa sababu Ya mtu mmoja tu...!!
Huyu jamaa mnajisumbua tu ,kuandika hivi hamchoki kweli huwezi kuachana na mtu unayeona amekushinda,nafikiri hata Jana kauli za magu kuhusu madiwani ulimsikia alivyosema kuwa hawana uwezo wa kutoa aliyemweka yeye ,
Achana na huyu mtu hakamatiki kabisa ...
 
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite Hata watu anaowaongoza hawamtaki wameshindwa Hata kumualika
Inabidi ajitafakari Hata Kama Baba anambeba inabidi tu yeye aombe kujiuzulu ili ofisi achukue mtu mwingine ambaye atapewa ushirikiano na wafanyakazi Wenzake, maana mazingira hayo aliyonayo sasa kazi haziwezi tendeka kwa ufanisi
Angalia taarifa zote za Habari Leo zimetawaliwa na wakuu wa mikoa sijui yeye anajisikiaje Leo....!!
Mwisho nivipongeze vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam kwa maamuzi mliyofanya Leo...!!
Kwani ni Lazima awe yeye?Halafu mkuu wa mkoa amefiwa yupo Mwanza,atakuwepo kazini kesho.Acha kulazmisha mambo
 
Sasa ndugu unafikiri kazi zitaenda kweli..!?
Unajua kuna mambo mengi yanakwama kwa sababu Ya mtu mmoja tu...!!
Pamoja na mapungufu yake, haki yake mpeni.
Suala la madawa ya kulevya lilishashindikana.
Enter Makonda mapapa wa madawa wote waliingia mitini na wengine kupotelea nje ya nchi., madawa yakapotea kwenye soko.
Watumiaji wengine wakaanza kunyauka na kufa, kama kule Mwanza.

Watanzania mwataka nini zaidi?
Pengine mtu asiyeenda shule ndo anafanya wonders!

Kwa taarifa yenu, hata nchi kama Marekani zina take note vita hii, maana passport ya Tanzania iliisha nuka kitambo.
 
Leo ilikuwa siku Ya wafanyakazi dunia ambapo kitaifa ilifanyika mkoani Kilimanjaro Mgeni rasmi akiwa mh Raisi
Sehemu nyingine Wageni rasmi walikuwa wakuu mikoa yao
Lakini mkoa wa Dar es salaam Mgeni rasmi ni mke wa spika mstaafu Samwel sitta bi Magreth sitta
Hii inamanisha nini kwa Bashite Hata watu anaowaongoza hawamtaki wameshindwa Hata kumualika
Inabidi ajitafakari Hata Kama Baba anambeba inabidi tu yeye aombe kujiuzulu ili ofisi achukue mtu mwingine ambaye atapewa ushirikiano na wafanyakazi Wenzake, maana mazingira hayo aliyonayo sasa kazi haziwezi tendeka kwa ufanisi
Angalia taarifa zote za Habari Leo zimetawaliwa na wakuu wa mikoa sijui yeye anajisikiaje Leo....!!
Mwisho nivipongeze vyama vya wafanyakazi mkoa wa Dar es salaam kwa maamuzi mliyofanya Leo...!!
RC Makonda yuko MWANZA likizo fupi ya dharura!
 
Pamoja na mapungufu yake, haki yake mpeni.
Suala la madawa ya kulevya lilishashindikana.
Enter Makonda mapapa wa madawa wote waliingia mitini na wengine kupotelea nje ya nchi., madawa yakapotea kwenye soko.
Watumiaji wengine wakaanza kunyauka na kufa, kama kule Mwanza.

Watanzania mwataka nini zaidi?
Pengine mtu asiyeenda shule ndo anafanya wonders!

Kwa taarifa yenu, hata nchi kama Marekani zina take note vita hii, maana passport ya Tanzania iliisha nuka kitambo.
Kwani tuhuma zake ni madawa ya kulevya au kufoji vyeti.??
 
Back
Top Bottom