1.penda kuwa msikilizaji,tambua kuwa wenzio pia wana yakusema na kuna ya kujifunza kwayo
2.Unapozungumza na mtu/watu hakikisha mnazungumza kwa mtindo wa majadiliano,na sio hutuba,yani unazungumza kisha unaapa nafasi wengine nao wazungumze.
3.Fanya yoga,meditation na mazoezi ya pumzi,take a deep...
Huyo mufti yuko fit kweli kweli kwenye ulozi,nyumba anayoishi ilipokamilika walikuwa wanapishana washirikina wenzie kutoka kila pande kuja kuiwekea kinga.
Bakwata ni chombo cha serikali na hakuna muislamu yoyote anayejitambua anayeweza kuwachukulia siriaz.
Sio nadharia chief,tupo tunaoziishi kwa vitendo,na sikumaanisha kuwa unakuwa umekaa tu.kuna vitu vinavyoleta/kuongeza furaha,mfano mie nafurahi/kuinjoy kuwa karibu na nature,treking,kuogelea,gardening,kuangalia landscapes za kuvutia,listening to uplifting/soothing music,adventure traveling etc...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.