Na ajabu katika matumizi ya awamu ya tano

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,597
215,340
HAPA NDIO TUNAPOPIGWA WATZ. 👇👇

Maajabu ya awamu ya tano, hakuna ajira mpya, wametoa watumishi hewa, hakuna nyongeza ya mishahara, lakini kila mwaka bajeti ya mishahara inapaa
Mwezi March mwaka 2014 serikali ilitumia Bilioni 375.9 kulipa mishahara kwa watumishi (Salaries and wages). Kumbuka kipindi hicho kulikua na watumishi hewa, kulikua na watu wanalipwa mishahara miwili miwili, kulikua na nyongeza ya mishahara, na watumishi wapya waliajiriwa kila mwaka.

Kipindi kama hicho (mwezi March) Mwaka 2018 serikali ilitumia Bilioni 527.4 kulipa mishahara. Kipindi kama hicho mwaka huu, serikali imetumia Bilioni 557.6 kulipa mishahara. Hizi ni takwimu rasmi kama zilivyotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango. Yani gharama ya kulipa mishahara imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka licha ya kuondolewa wafanyakazi hewa na dili nyingine feki.

Kwa wale wachumi daraja la kwanza, hii inawezekanaje? Yani unaondoa wafanyakazi hewa, unazuia nyongeza ya mishahara, unazuia ajira mpya lakini gharama ya kulipa mishahara inazidi kuongezek. JK aliwezaje kuwa na wafanyakazi hewa na wote wakalipwa, akaweka nyongeza ya mishahara kila mwaka kwa watumishi wote hadi wale hewa, na akaweza kuajiri maelfu kila mwaka kwa gharama ndogo? Who can explain this Economic paradox?

1566008059204.jpeg



Baadhi ya comments za watu;
Hizi report ziko shallow sana au kisiasa zaidi ,nilitegemea nione hapo ,idadi ya wafanyakazi mwaka 2014 vs 2018, idadi ya wafanyakazi waliokuwa promoted kuanzia mwaka 2014 vs 2018 , mishahara ya group Fulani mwaka 2014 vs 2018 , ukileta ya report ya hivyo nitakuelewa kwa mbaliii, na kingine kama wanaweza kulipa mishara hiyo ina maana wafanyakazi wameboreshewa mishahara yao through allowances nk na walio ajiriwa ni wengi ,naomba mtoa post share data itapendeza sana vinginevyo uko kisiasa
 
jaribu kutuonesha kama idadi ya watumishi ni walewale please...
umekwapua namba ya pesa unalia nayo.... na unadai kuna ufisadi....
Base ya hiyo ni idadi ya watu, promotions etc.... Please tuongezee nyama tujadili
Kama idadi ya watumishi ni ile ie ntaungana nawe kuuita ni ufisadi
 
Halafu jambo la wazi kabisa kama hili bado MATÀGA hawalioni kabisa! Huku kama sio kulogwa ni nini?
Ni kwa sababu binadamu anastahili kuheshimiwa utu wake na kulindwa hata kama matendo yake ni kama ng'ombe tuu, lakini hawa maccm ilikuwa ni wa kuwachukulia hadhi ya panya ndani ya nyumba na kuwasafisha kwa dawa ya panya
 
Mh Zitto aliwahi kusema..." Tumewakabidhi Nchi washamba na malimbukeni" hapa alimaanisha viongozi wa mihimili 2 yaani Rais na Spika...

Jamaa sio tu wanaiba bali "wanazoa"
Nchi imejaa malalamiko kila kona toka serikalini hadi Mkulima Mdogo wa mahindi wa kule Namanyele...
Jamaa ameshindwa na hafai kabisa !!
 
jaribu kutuonesha kama idadi ya watumishi ni walewale please...
umekwapua namba ya pesa unalia nayo.... na unadai kuna ufisadi....
Base ya hiyo ni idadi ya watu, promotions etc.... Please tuongezee nyama tujadili
Kama idadi ya watumishi ni ile ie ntaungana nawe kuuita ni ufisadi
Kasahau kwamba kuna walio panda madaraja na mishahara imebadilishwa, anasahau kwamba kuna waajiriwa wapya kada mbalimbali na wapo kazin tuwe wafuatiliaji wa mambo jamani tusiwe watu wa kutafuta lawama wakati wote
 
HAPA NDIO TUNAPOPIGWA WATZ. 👇👇

Maajabu ya awamu ya tano, hakuna ajira mpya, wametoa watumishi hewa, hakuna nyongeza ya mishahara, lakini kila mwaka bajeti ya mishahara inapaa
Mwezi March mwaka 2014 serikali ilitumia Bilioni 375.9 kulipa mishahara kwa watumishi (Salaries and wages). Kumbuka kipindi hicho kulikua na watumishi hewa, kulikua na watu wanalipwa mishahara miwili miwili, kulikua na nyongeza ya mishahara, na watumishi wapya waliajiriwa kila mwaka.

Kipindi kama hicho (mwezi March) Mwaka 2018 serikali ilitumia Bilioni 527.4 kulipa mishahara. Kipindi kama hicho mwaka huu, serikali imetumia Bilioni 557.6 kulipa mishahara. Hizi ni takwimu rasmi kama zilivyotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango. Yani gharama ya kulipa mishahara imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka licha ya kuondolewa wafanyakazi hewa na dili nyingine feki.

Kwa wale wachumi daraja la kwanza, hii inawezekanaje? Yani unaondoa wafanyakazi hewa, unazuia nyongeza ya mishahara, unazuia ajira mpya lakini gharama ya kulipa mishahara inazidi kuongezek. JK aliwezaje kuwa na wafanyakazi hewa na wote wakalipwa, akaweka nyongeza ya mishahara kila mwaka kwa watumishi wote hadi wale hewa, na akaweza kuajiri maelfu kila mwaka kwa gharama ndogo? Who can explain this Economic paradox?

View attachment 1183365


Baadhi ya comments za watu;
Hizi report ziko shallow sana au kisiasa zaidi ,nilitegemea nione hapo ,idadi ya wafanyakazi mwaka 2014 vs 2018, idadi ya wafanyakazi waliokuwa promoted kuanzia mwaka 2014 vs 2018 , mishahara ya group Fulani mwaka 2014 vs 2018 , ukileta ya report ya hivyo nitakuelewa kwa mbaliii, na kingine kama wanaweza kulipa mishara hiyo ina maana wafanyakazi wameboreshewa mishahara yao through allowances nk na walio ajiriwa ni wengi ,naomba mtoa post share data itapendeza sana vinginevyo uko kisiasa
Watasema wameajiri vijana wengi kwenye idara ya wasiojulikana
 
kuna baadhi ya vitu muhimu vya kuangalia ili kujuawa na majibu ya uhakika ama yenye asilimia kubwa ya ukweli pasipo hata takwimu rasmi, nayo ni haya

1. ni wangapi wametumbuliwa?
2. niwangapi wamestaafu.?
3. ni idadi kubwa kiasi gani kwa namba ya mishahara hewa ilikuwa inalipwa na sasa imesitishwa?
4. ni watumishi wangapi wamepandishwa vyeo ama madaraja na wanalipwa kulingana na level walizofika?
5. ni watumishi wangapi wameajiriwa toka mwaka 2014 mpaka leo. je idadi ya walotumbuliwa na waloajiriwa wanalingana, mishahara yao ikoje?

Baada ya kujiuliza haya machache tunaweza pata uhalisia.
Ila kwa upande wangu naona saivi kuna hela nyingi zinapatikana kutokana na budget ila haziendi sehemu husika ka hizo za mishahara zote hizo hazifiki maana mwezi ama mwaka wa kwanza nategemea budget ya mishahara ingeshuka ama ingekwama pale kwa muda maana ka kumbukumbu zangu ziko sawa ni watu elfu 10 walitumbuliwa, hapo bado mishahara hewa, bado wastaafu, bado lile zoezi na mishahara ku kwama pale pale, yani kutokuwa na ongezeko la mishahara,
Kiuhalisia kunamambo mengi yanatia mashaka, saivi watu wanashanga hela zinatoka wapi kumbe yawezekana ndo zile za watumishi hewa, walotumbuliwa,za ongezeko la mishahara n.k
 
Inaitwa Chukua Chako Mapema,na vile mhula wa pili ushakuwa hausomeki,haina budi rumbesa ijazwe chapchap.
 
Kasahau kwamba kuna walio panda madaraja na mishahara imebadilishwa, anasahau kwamba kuna waajiriwa wapya kada mbalimbali na wapo kazin tuwe wafuatiliaji wa mambo jamani tusiwe watu wa kutafuta lawama wakati wote
JF toa uzi wenye kukera against serikali unapata watu wanajadili unafaidika..
Imaginary supporters wana umuhimu sana psychologically
 
I fully concur!
Mh Zitto aliwahi kusema..." Tumewakabidhi Nchi washamba na malimbukeni" hapa alimaanisha viongozi wa mihimili 2 yaani Rais na Spika...

Jamaa sio tu wanaiba bali "wanazoa"
Nchi imejaa malalamiko kila kona toka serikalini hadi Mkulima Mdogo wa mahindi wa kule Namanyele...
Jamaa ameshindwa na hafai kabisa !!
 
HAPA NDIO TUNAPOPIGWA WATZ. 👇👇

Maajabu ya awamu ya tano, hakuna ajira mpya, wametoa watumishi hewa, hakuna nyongeza ya mishahara, lakini kila mwaka bajeti ya mishahara inapaa
Mwezi March mwaka 2014 serikali ilitumia Bilioni 375.9 kulipa mishahara kwa watumishi (Salaries and wages). Kumbuka kipindi hicho kulikua na watumishi hewa, kulikua na watu wanalipwa mishahara miwili miwili, kulikua na nyongeza ya mishahara, na watumishi wapya waliajiriwa kila mwaka.

Kipindi kama hicho (mwezi March) Mwaka 2018 serikali ilitumia Bilioni 527.4 kulipa mishahara. Kipindi kama hicho mwaka huu, serikali imetumia Bilioni 557.6 kulipa mishahara. Hizi ni takwimu rasmi kama zilivyotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango. Yani gharama ya kulipa mishahara imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka licha ya kuondolewa wafanyakazi hewa na dili nyingine feki.
Mkuu Sky Eclat, kasome hapa
Concentrate on this line
Hili ninalolisema leo, wengine mtakuja kuliona mwezi Juni /July wakati wa kusomwa kwa bajeti kuu ya serikali, mtashuhudia kuongezeka kwa bajeti ya uendeshaji wa serikali ikiwemo wage bill badala ya kupungua
P
P
 
Back
Top Bottom