Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,340
HAPA NDIO TUNAPOPIGWA WATZ. 👇👇
Maajabu ya awamu ya tano, hakuna ajira mpya, wametoa watumishi hewa, hakuna nyongeza ya mishahara, lakini kila mwaka bajeti ya mishahara inapaa
Mwezi March mwaka 2014 serikali ilitumia Bilioni 375.9 kulipa mishahara kwa watumishi (Salaries and wages). Kumbuka kipindi hicho kulikua na watumishi hewa, kulikua na watu wanalipwa mishahara miwili miwili, kulikua na nyongeza ya mishahara, na watumishi wapya waliajiriwa kila mwaka.
Kipindi kama hicho (mwezi March) Mwaka 2018 serikali ilitumia Bilioni 527.4 kulipa mishahara. Kipindi kama hicho mwaka huu, serikali imetumia Bilioni 557.6 kulipa mishahara. Hizi ni takwimu rasmi kama zilivyotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango. Yani gharama ya kulipa mishahara imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka licha ya kuondolewa wafanyakazi hewa na dili nyingine feki.
Kwa wale wachumi daraja la kwanza, hii inawezekanaje? Yani unaondoa wafanyakazi hewa, unazuia nyongeza ya mishahara, unazuia ajira mpya lakini gharama ya kulipa mishahara inazidi kuongezek. JK aliwezaje kuwa na wafanyakazi hewa na wote wakalipwa, akaweka nyongeza ya mishahara kila mwaka kwa watumishi wote hadi wale hewa, na akaweza kuajiri maelfu kila mwaka kwa gharama ndogo? Who can explain this Economic paradox?
Baadhi ya comments za watu;
Hizi report ziko shallow sana au kisiasa zaidi ,nilitegemea nione hapo ,idadi ya wafanyakazi mwaka 2014 vs 2018, idadi ya wafanyakazi waliokuwa promoted kuanzia mwaka 2014 vs 2018 , mishahara ya group Fulani mwaka 2014 vs 2018 , ukileta ya report ya hivyo nitakuelewa kwa mbaliii, na kingine kama wanaweza kulipa mishara hiyo ina maana wafanyakazi wameboreshewa mishahara yao through allowances nk na walio ajiriwa ni wengi ,naomba mtoa post share data itapendeza sana vinginevyo uko kisiasa
Maajabu ya awamu ya tano, hakuna ajira mpya, wametoa watumishi hewa, hakuna nyongeza ya mishahara, lakini kila mwaka bajeti ya mishahara inapaa
Mwezi March mwaka 2014 serikali ilitumia Bilioni 375.9 kulipa mishahara kwa watumishi (Salaries and wages). Kumbuka kipindi hicho kulikua na watumishi hewa, kulikua na watu wanalipwa mishahara miwili miwili, kulikua na nyongeza ya mishahara, na watumishi wapya waliajiriwa kila mwaka.
Kipindi kama hicho (mwezi March) Mwaka 2018 serikali ilitumia Bilioni 527.4 kulipa mishahara. Kipindi kama hicho mwaka huu, serikali imetumia Bilioni 557.6 kulipa mishahara. Hizi ni takwimu rasmi kama zilivyotolewa na Wizara ya Fedha na Mipango. Yani gharama ya kulipa mishahara imekua ikiongezeka mwaka hadi mwaka licha ya kuondolewa wafanyakazi hewa na dili nyingine feki.
Kwa wale wachumi daraja la kwanza, hii inawezekanaje? Yani unaondoa wafanyakazi hewa, unazuia nyongeza ya mishahara, unazuia ajira mpya lakini gharama ya kulipa mishahara inazidi kuongezek. JK aliwezaje kuwa na wafanyakazi hewa na wote wakalipwa, akaweka nyongeza ya mishahara kila mwaka kwa watumishi wote hadi wale hewa, na akaweza kuajiri maelfu kila mwaka kwa gharama ndogo? Who can explain this Economic paradox?
Baadhi ya comments za watu;
Hizi report ziko shallow sana au kisiasa zaidi ,nilitegemea nione hapo ,idadi ya wafanyakazi mwaka 2014 vs 2018, idadi ya wafanyakazi waliokuwa promoted kuanzia mwaka 2014 vs 2018 , mishahara ya group Fulani mwaka 2014 vs 2018 , ukileta ya report ya hivyo nitakuelewa kwa mbaliii, na kingine kama wanaweza kulipa mishara hiyo ina maana wafanyakazi wameboreshewa mishahara yao through allowances nk na walio ajiriwa ni wengi ,naomba mtoa post share data itapendeza sana vinginevyo uko kisiasa