Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,478
- 29,193
Ivi na mtoto wa liyumba nae si alidakwa na mzigo pia weenda wote kula bata US auShkuba alishakaaga jela kati ya irán au pakistan connection zake zote alizipatiaa akiwa jela huko
Ova
Ivi na mtoto wa liyumba nae si alidakwa na mzigo pia weenda wote kula bata US auShkuba alishakaaga jela kati ya irán au pakistan connection zake zote alizipatiaa akiwa jela huko
Ova
Mtoto wa lyumba bado Yuko jela lindi!hausiki na Issue ya shkuba mkuu ...Ivi na mtoto wa liyumba nae si alidakwa na mzigo pia weenda wote kula bata US au
Mawakili wao wanataka kupiga hela tuMawakili wanakazi nzito kunawakati unakuta wanamtetea mtu lakini na majibu wanayo kwamba ameasi
Acha uongo Shkuba toka 2014 yupo ndani magereza ukonga amekamatwa sasa huyo wa nje ndo shkuba??Kama Unakumbuka ilielezwa kwamba kuna mmoja yuko nje ya nchi ametengenezewa mtego
Wanasema Hakujihusisha na biashara haramTaaluma ya sheria mara nyingine huwa inanikanganya sana,sasa hao mawakili wake wanamtetea kwa lipi?
Kazi ipoWanasema Hakujihusisha na biashara haram
MulemuleHuyu anaweza akahukumiwa jela miaka 7 hivi ila lazima awasaidie kuujua mtandao wa usambazaji.
Changamoto ni jela tuu zinakuwa na watu retarded sana unaweza kupoteza maisha. Na si marà ya kwanza kufungwa huyu
MIAKA mingapi kala JAMAA??Jamaa kala kifungo huko USA
Mara chache kusikia the best surgeon au the best footballerTanzania ni nooouuumaaa yaani mwuuzaji maarufu Duniani ni mtanzania duuu hatari
Inaonyesha Jamaa ana mtandao mkubwa.Mipango ya kutoroshwa kutoka Gereza la Lindi ilishakamilika ndo maana Gvt ukiona bora imalizane nae
Tanzania ni nooouuumaaa yaani mwuuzaji maarufu Duniani ni mtanzania duuu hatari
Kwani alikwisha kufungwa?Je huyu Shikuba amemaliza kifungo chake huko US? Hebu mwandende tujuze
Alifungwa Marekani mwaka 2019 baada ya kibali cha kumsafirisha kutoka Tanzania kukamilika mwaka 2017.Kwani alikwisha kufungwa?
Mbona hatukusikia hukumu yake!
Ashukuru Mungu alipelekwa Marekani, Tz angepigwa maishaAlifungwa Marekani mwaka 2019 baada ya kibali cha kumsafirisha kutoka Tanzania kukamilika mwaka 2017.