Kwa mbali nimeanza kuuelewa ulinzi mkali wa Rais...

Nadhani kuna mtangulizi ambaye anajutia kumpisha. Ila aongeze zaidi ulinzi. Hata ikiwezekana, awaondoe wapishi abaki mama tu. Mijitu inayo washwa washwa isije mdhuru. ee Mola mpe maisha marefu na ujasiri zaidi hadi awakomeshe wezi wa keki yetu. Asiyaruhusu majizi kuzikimbiza nje ya nchi. Taifisha akaunti zao zote, hela tujengee reli mpya.

Mtenda utendwa Madaraka ni koti LA kuazima
 
Wewe unasema nje ya Bara la Afrika??

Kwenda mkoani Morogoro tu hapo itakuwa shughuli!
Nasikia jumapili ya leo alitakuwa kuwa Arusha kwenye kongamano sijui la dini

Vipi baada ya kumtumbua January alienda Arusha ???
 
Watanzania na waafrika kwa ujumla Trump aliwakusema tunitajika kuendeleqa tawaliwa miaka 100 mbele angalia ndo watuache tujitawale....Hivi bado wapo wanaopinga kazi anazofanya Magu kweli...hiii nipo Tanzania au uchi za nje?
 
Kuwa serious achana na 'chai' hizo. Kwani mbona huyu kaenda Malawi ziarani usiku kaenda mganga

Chuki kwa lipi? Hakuna jambo linasonga hiyo chuki inatoka wapi? Zaidi wanaona inatisha tu kuharibu Taifa. Yani leo Wakina Msekwa wawe na wivu huku wakina Rostam ndio wazalendo wanaokunywa chai white house


Katika hao wazee wastaafu baadhi wenye chuki umeona umtaje Msekwa ambaye kwenye audio clip hayuko? Mbona humtaji huyo aliyekuwa anahimizwa na Membe kupiga penaliti afunge goli. Shame on you na bado mtaumbuka sana safari hii kwani JPM kawa fungua macho Watanzania, nchi hii si ya wateule wachache na wapambe wao. Kilio cha Watanzania wengi kimemfikia Mungu. Muende mkatubu.


Sifa common katika parts5 zote zilizo vujishwa na kusikiwa iko hofu kuu kwa wahusika, hawana uhakka na nini hatima yao ni mahangaiko kiasi cha kutafuta faraja kwa katibu kata. No peace of mind at all.
 
Sijui kuhusu quantity au quality ya ulinzi lakini visibly ulinzi wa Magufuli unaonekana umezidi sana kwa watangulizi. Sikumbuki kuona watu na bunduki wakiwa na Kikwete
Tuliambiwa ulinzi wa namna ile ulikuwa zidi ya mabeberu walionyang'anywa kitumbua mdomoni, akina Acacia.

Sasa ulinzi mkali zaidi unatakiwa zidi ya wapiga dili nchini, na maadui wapya walioko huko CCM.

Baada ya hapo itabidi uwepo ulinzi zidi ya wabaya toka vyama pinzani, hasa wale walionjeshwa 'joto' ya jiwe kwa namna moja ama nyingine, kama kusweka mahabusu, kubambikiwa kesi, n.k..

Tukishaimarisha huko kote, itatulazimu tuongeze ulinzi mkali zaidi kukinga dhidi ya wananchi/raia wasioridhika au wanaorubuniwa na makundi hayo yote hapo juu.

Nadhani itabidi to-'design' 'space capsule' tutakapomweka rais wetu asidhurike na kitu chochote, sio bacteria, virus, hewa chafu, chakula, maji na hata electronic boom zinazoweza kuelekezwa kwake zisimdhuru.
 
Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
@Mzee Mwanakijiji, mbali na Ulinzi; hiki chama chetu kilikuwa na utaratibu mzuri wa kumpata "candidate" . Obviously ndiye at most akikuwa raia namba moja. Indeed. Zile sifa hazikuwa connected na ulinzi kabisa. Tunakwama wapi?
 
Tofautisha Kabila era, na wakati huu...hata poronium ya aina Mwaky haitumiki tena!
Sina hakika kama una ufahamu wowote wa unachokiandika. Kwa mfano: poronium ni kitu gani?
Hapo Amhara, Ethiopia ulishapasikia? Unajua ni nini kimetokea miezi michache tu iliyopita?
 
Amevuruga sana uchumi na maisha ya watanzania kwa muda mchache sana.
Watu wamepigika huku mtaani wewe acha kabisa ! Ukiwa na capital unajiuliza mara mbili mara tatu nifanye biashara gani ambayo inaweza kunitengenezea faida,huoni kitu unabaki hoi
 
Kama Mambo ndani yako hivi Tena kwa watu wa karibu...kwa hawa tu tunaowajua..itakuwa vipi kwa Wale wengine tusiowajua?
Nami nikuulize kwa upande mwengine, je kwa huo ulinzi mkubwa alionao kuna lipi la maana ambalo katufanyia TZ? Huo ulinzi ungekua wa maana sana kama ana manufaa (ambayo binafsi sijayaona mpaka sasa), lakini hautakua na maana kwetu kama mtu anajitafutia maadui kwa makusudi yake binafsi tu.
 
Back
Top Bottom