Tanesco leo wametangaza rasmi kuwa kutakuwa na "upungufu" wa umeme nchini mpaka mwakani. Nimeona video YouTube huko nchini Nigeria watu wanatumia Gas ya kupikia nyumbani kama fuel kwa ajili ya Generator.
Naomba kuuliza wajuzi wa umeme na gas je hapa Tanzania utalamu huo upo wa Kutumia LPG kama...
Namba za Help Desk +255735398259/+255784398259
Malalamiko ++255736005511/ 255679398259
Ijulikane kuwa hizi namba hazipo au kama mtu ana malalamiko afike hapo Dodoma kuliko kuweka namba ambazo hazipo na hazifanyi kazi.
Napenda kutoa wito kwa watanzani wote. Tuisaidie serikali na wabunge wetu kwenda kutengeneza sheria bora za madini, gesi asilia na mafuta kwa kutoa maoni yetu. Tutaweza kutoa maoni yetu vizuri kama tutasoma sheria na sera zetu za sasa za madini na gesi asilia na kuona mapungufu yake.
Kazi hii...
Ni wakati sasa umefika wa maeneo ya kuzikia yawe yanapimwa vizuri ili kuondoa watu kuzika bila mpangilio mzuri.
Makaburi mengi haya pangwi vizuri kabisa. Napendekeza sehemu iliyotengwa kwa ajili ya kuzika zipimwe na watu wazike kwa kufuata ramani ambayo itakuwa inakaa kwa Mwenyekiti wa mtaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.